Huyu mchezaji mpya wa Simba anakuaje na Miaka 22?

Huyu mchezaji mpya wa Simba anakuaje na Miaka 22?

Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi

Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Juma Kaseja naskia ana 24
 
Sasa huyu akiwa na aka 22 basi Banda 16[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haahaahaaaa mkuu kweli ulikuwa hupatani na mwalimu wa hesabu...
Sio mimi hata huyu mchezaji alikimbia hesabu haiwezekani akawa na 22 ana 32 huyu unles na macho nayo yamepishana naona anakaribia kulingana na matola huyu😀😀😀😀
 
Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi

Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Ngasa ni sawa kabisa Mimi nikiwa darasa LA saba ngasa alikuwa darasa LA pili na nina 37,na wakati huo alikuwa anacheza team ya shule kama beki kwa sababu alikuwa mdogo sana hila mjanja sana
 
Mimi nampa dedication ya ile ngoma ya alikiba ft patoranking inaitwa bwana mdogo[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Acha ukanjanja wa soka
Msipende ubishi usio jenga

Hivi huyu dogo janja unamkadiria kua ana miaka mingapi?

1641542870337.png
 
Ifikie hatua akubali tu kuwa hapo wamepigwa na kitu kizito.
Ushawahi kuangalia elastic heart ya sia?

Kuna huyu mwamba hapa, unamkadiria kua na miaka mingapi?

1641543226453.png
 
Mnanishawishi vipi mpaka niamini kwamba

Huyu
1641543843102.png


Kamzidi umri huyu

1641543876101.png
 
Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi

Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Hivi Ngasa bado anacheza mpira?



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom