Munru
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 1,340
- 666
Juma Kaseja naskia ana 24Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh