daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Hata akisema ana miaka 18Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Na wa 1989 atakuwa na miaka mingapiKama kazaliwa 1999 c ama miaka 32 mtoa mada au? mimi hesabu nilikimbia form two😃
Ndugai au?Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Wachezaji sahihi hawa wa kuwafanyia majaribio.Endeleeni kukomaa na umri wenzenu tunahitaji wachezaji sahihi kwa muda sahihi ili tupate kilicho sahihi kutoka kwao!! Ingekuwa masuala ya umri ni tatizo basi ntibazonkiza asingekuwepo yanga kabisaaa maana ndo baba lao kwa wachezaji wote wa NBC premier.....
Sikujua kama nina fote +.., maana huo mstari ninao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We mcheki kati ya mwisho wa pua na shavu kuna mstari mbonyeo.uo mstari mbonyeo uwa unatokea kuanzia fote na ushee.
Hapo Inaonyesha kazaliwa 99 kwa hiyo ana miaka 32
Haahaahaaaa mkuu kweli ulikuwa hupatani na mwalimu wa hesabu...Kama kazaliwa 1999 c ama miaka 32 mtoa mada au? mimi hesabu nilikimbia form two[emoji2]
Na uzi ufungwe[emoji23]Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
40 hapana, hata kama kapunguza umri labda kadiria 28- 30 hiviWe mcheki kati ya mwisho wa pua na shavu kuna mstari mbonyeo.uo mstari mbonyeo uwa unatokea kuanzia fote na ushee.
Ulikimbia hakika! 2021-1999= 32?Kama kazaliwa 1999 c ama miaka 32 mtoa mada au? mimi hesabu nilikimbia form two[emoji2]
2022-1999 = 23Kama kazaliwa 1999 c ama miaka 32 mtoa mada au? mimi hesabu nilikimbia form two😃
Umemsahau NyoniEndeleeni kukomaa na umri wenzenu tunahitaji wachezaji sahihi kwa muda sahihi ili tupate kilicho sahihi kutoka kwao!! Ingekuwa masuala ya umri ni tatizo basi ntibazonkiza asingekuwepo yanga kabisaaa maana ndo baba lao kwa wachezaji wote wa NBC premier.....