Juma Kaseja naskia ana 24Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Ndo maana ukiteleza kauli huwa nakushambulia sana. Wewe ni mtu wa soka unapaswa kuwa mkweli bila kujali upande.We mcheki kati ya mwisho wa pua na shavu kuna mstari mbonyeo.uo mstari mbonyeo uwa unatokea kuanzia fote na ushee.
We hujaona kama tatizo la wewe kudumaa ni la kuuliza wazazi wako? Mbona hujahoji huo urefu wake?Mimi na kamati yangu tumegoma, huyu mstaafu anakuaje na miaka 22? Yaani huyu eti nikikutana nae aniamkie? Big NO
View attachment 2070647
View attachment 2070648
Sio mimi hata huyu mchezaji alikimbia hesabu haiwezekani akawa na 22 ana 32 huyu unles na macho nayo yamepishana naona anakaribia kulingana na matola huyu😀😀😀😀Haahaahaaaa mkuu kweli ulikuwa hupatani na mwalimu wa hesabu...
Ngasa ni sawa kabisa Mimi nikiwa darasa LA saba ngasa alikuwa darasa LA pili na nina 37,na wakati huo alikuwa anacheza team ya shule kama beki kwa sababu alikuwa mdogo sana hila mjanja sanaNdio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Ifikie hatua akubali tu kuwa hapo wamepigwa na kitu kizito.Acha ukanjanja wa soka
Msipende ubishi usio jengaAcha ukanjanja wa soka
Ushawahi kuangalia elastic heart ya sia?Ifikie hatua akubali tu kuwa hapo wamepigwa na kitu kizito.
Hivi Ngasa bado anacheza mpira?Ndio maisha ya mpira sheikh, wachezaji wa kiafrika wanakuwa na vyeti vya kuzaliwa ata vitatu tofauti anaangalia tu wapi atumie hiki aache kipi
Mbona hukuleta Uzi wa kukataa umri wa Tuisila Kisinda miaka 21 na kaka yake Mukoko miaka 25, legend wetu ngasa hadi leo hii ana miaka 32, muache mtoto wa watu Sheikh
Msimu huu sijamuona mkuu ila msimu uliopita alikuwa anakipiga