Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Sasa tuseme Ihefu hawajataka kumsajili ndugu yaoπ€£π€£Una maanisha Simba wamesajili m,,burushi wa usangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Anateseka akiwa Evic town[emoji28][emoji23][emoji375][emoji375]Unateseka ukiwa wap
Upo sahihi kabisa,Mikia sijui wamepanic nini...... Watz tunataka mtu machachari ila mi nimeona anamovement nzuriKacheza vizuri sana , imagine ana siku 2 ndani ya timu na timu haikutengeneza nafasi alipoingia
Watu mna vinyesi kwenye vichwa vyenu badala ya ubongoYaani kwa kuwa hajafanya mazoezi na wenzake ndio ashindwe hata kugusa na kukontroo mpira?
Mk 14 ni bora mara mia kuliko huyo mburushiMikia kuweni watulivu, binafsi nimeona anamovement nzuri hasa viungo wakiweza kuwa wanamtengenezea nafasi.........Kumuona leo tu na mtu hajafanya mazoezi na timu kama mpenzi wa mpira nampa mechi 3 za kucheza angalau dk 35
NB:Akifail mtamkumbuka MK14
Siyo kila mzungu ni mchezaji wa mpira, wengine ni waimbaji wa rege.Nimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio mchezaji.
Mlichofanywa mwanza mnakwenda kufanywa dar ππππIlo kimba fc limeleta uzi
NakaziaNimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio mchezaji.