Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Mikia kuweni watulivu, binafsi nimeona anamovement nzuri hasa viungo wakiweza kuwa wanamtengenezea nafasi.........Kumuona leo tu na mtu hajafanya mazoezi na timu kama mpenzi wa mpira nampa mechi 3 za kucheza angalau dk 35
NB:Akifail mtamkumbuka MK14
NB:Akifail mtamkumbuka MK14