Huyu mchungaji anayedharau walimu na kudhalilisha waumini akemewe

Huyu mchungaji anayedharau walimu na kudhalilisha waumini akemewe

Wengi mmetoa mapovu nadhani kwasababu hamna hel au ndio hao walimu wa shule ya msingi.

Huyo mchungaji lengo lake ni kuwajulisha mabinti wakae katika mvuto wa kupendeza na kumvutia mwanaume ili wapate waume..sio wakae kishambashamba.

#MaendeleoHayanaChama
Kabisa.

Ila wananchi wamepanic balaa.....
 
Kifupi huyo bwege tu wa mjini
Injili yake sio kama ya Kristo inayowafaa watu wa vijijini ambako watu hawajui saloon wala duka la vipodozi halipo na hawajui lipstick ni kitu gani hiyo injili

Pamoja na tofauti zetu za kimadhehebu hicho anachohubiri hakikubariki kanisa katoliki, Lutheran, Anglican wala pentecoste
Huyo amevamia kanisani kama mchungaji
 
KWA TAARIFA YAKO, HAKUNA MCHUNGAJI MWANAMKE BORA TANZANIA KAMA HUYU.
 
Sijapendaaaaa

Kwanini atuseme sisi tunaochana nywele?
Bagia njoo tuambizane hapa tunapata wapi vi peruvian hata vya mchongo Carleen

Nikijiangalia kwa huu mwaka lipstick nilipaka tu mara moja sababu ya sherehe sina hamu na huyo mchungaji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Shost Lenie najua hujatinda nyusi [emoji1787][emoji1787]
Haya kesho chap chap [emoji23][emoji23][emoji23]
Njooni niwauzie peruvian mchungaji wa mchongo asiwasimange looh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sijapendaaaaa

Kwanini atuseme sisi tunaochana nywele?
Bagia njoo tuambizane hapa tunapata wapi vi peruvian hata vya mchongo Carleen

Nikijiangalia kwa huu mwaka lipstick nilipaka tu mara moja sababu ya sherehe sina hamu na huyo mchungaji 🤣🤣🤣🤣


Shost Lenie najua hujatinda nyusi 🤣🤣
Haya kesho chap chap 😂😂😂
Hahaaa..!
Kiutamu changu pole sana kwa maumivu, ila twende mbele turudi nyuma, ama acha twende tu mbele, siye 'vinyole' vyetu tunachana ila trust me vina mvuto uliotukuka, nilikuwa nafuta maji kichwani natoka kuoga jioni hii najitazama kwa kioo najiambia hivi Mimi Carleen nitarudi kusuka tena kweli?? Vile ilivyo raha kukaa chini ya bomba la maji baridi.??
Siyo sasa akiii'...!

Bora wewe, Mimi lipstick siwi comfortable jamani, lip balm inanitosha na kimdomo kinabaki sexy..!

Lenie nilitinda nyusi juzi ile na kitana tu ila huwezi amini nikawa najicheka..!
 
Aliyoyafundisha ni kinyume na mafundisho ya UKRISTO
 
Kilichonisikitisha ni waumini wengine kushangilia huo udhalilishaji
 
Afadhali hata huyo!! Kuna huyu huku sasa....Mambo hadharani.
 

Attachments

  • FB_IMG_1653957764782.jpg
    FB_IMG_1653957764782.jpg
    39.7 KB · Views: 11
Hahaaa..!
Kiutamu changu pole sana kwa maumivu, ila twende mbele turudi nyuma, ama acha twende tu mbele, siye 'vinyole' vyetu tunachana ila trust me vina mvuto uliotukuka, nilikuwa nafuta maji kichwani natoka kuoga jioni hii najitazama kwa kioo najiambia hivi Mimi Carleen nitarudi kusuka tena kweli?? Vile ilivyo raha kukaa chini ya bomba la maji baridi.??
Siyo sasa akiii'...!

Bora wewe, Mimi lipstick siwi comfortable jamani, lip balm inanitosha na kimdomo kinabaki sexy..!

Lenie nilitinda nyusi juzi ile na kitana tu ila huwezi amini nikawa najicheka..!
Nashangaa anawasema short hair wakati ndio naona tunatoka very smart hamna mambo za kunuka mawigi na kujipiga paa paaaa mbele za umati au sio Depal

Hahaaa ile ya kutinda kwa kitana kuna namna fulani inakaa lazima ichekeshe unless una nyusi laini na chache.
 
Nimeona video ya huyu dada ambaye anaonekana kuwa ni mchungaji akiwa anahubiri kanisani. Jambo lililonisikitisha ni kitendo cha kudharau taaluma ya ualimu hasa walimu wa kike wa shule za Msingi.

Kiongozi ni kioo cha jamii hivyo inatarajiwa kuwa maneno unayoyatoa yatakuwa ya kujenga na si kubomoa au kudhalilisha. Ajabu ni kuwa mchungaji huyo ambaye amesahau kabisa fadhila ya elimu aliyopewa na walimu hadi leo anaweza kusimama na kuhutubia watu malipo yake anatolea mfano usiofaa.

Dada huyo kaenda mbali zaidi kumdhalilisha muumini kwa kutaka kumpaka lipstick kanisani akiamini wanaofanya hivyo ndio huolewa. Hajui muumini huyo kama kaolewa au la. Hizi style za mahubiri zinakoelekea sio kwema kabisa. Imagine mme wa yule dada aliyedhalilishwa angekuwa pale church au yule dada angeamua kutoa unyonge si angemchapa ngumi na kusepa zake.

Tuwe tunachagua maneno ya kuhubiri na sio kuwadhalilisha watu wengine.

Natarajia TUCTA na CWT hata viongozi wa serikali watakemea tabia hii


View attachment 2244659

Biblia inasema siki za mwisho mtalitafuta neno hamtalipata. Maana yake ni kwamba watu hawatahubiri neno bali Mambo yao tu. Navyoamini kuvaa ni personal choice au kujitinda nyusi lipstic ni personal choice.
 
Nimeona video ya huyu dada ambaye anaonekana kuwa ni mchungaji akiwa anahubiri kanisani. Jambo lililonisikitisha ni kitendo cha kudharau taaluma ya ualimu hasa walimu wa kike wa shule za Msingi.

Kiongozi ni kioo cha jamii hivyo inatarajiwa kuwa maneno unayoyatoa yatakuwa ya kujenga na si kubomoa au kudhalilisha. Ajabu ni kuwa mchungaji huyo ambaye amesahau kabisa fadhila ya elimu aliyopewa na walimu hadi leo anaweza kusimama na kuhutubia watu malipo yake anatolea mfano usiofaa.

Dada huyo kaenda mbali zaidi kumdhalilisha muumini kwa kutaka kumpaka lipstick kanisani akiamini wanaofanya hivyo ndio huolewa. Hajui muumini huyo kama kaolewa au la. Hizi style za mahubiri zinakoelekea sio kwema kabisa. Imagine mme wa yule dada aliyedhalilishwa angekuwa pale church au yule dada angeamua kutoa unyonge si angemchapa ngumi na kusepa zake.

Tuwe tunachagua maneno ya kuhubiri na sio kuwadhalilisha watu wengine.

Natarajia TUCTA na CWT hata viongozi wa serikali watakemea tabia hii


View attachment 2244659

Shida ya huyu dada huwa hachagui Cha kuongea. Kuna kipindi alikuja kanisani Mwanza alisema akadai mumewe ni handsome kiasi kwamba kila mwanamke anatamani awe naye.
 
Ukifuatulia utagundua shetani anawatumia sana wahubiri kama hawa kutekeleza lengo lake la kuua na kuangamiza.

Wanaua familia, wanajenga sintofahamu baina ya wanandoa, wanaongeza umalaya, wanawawashia tamaa ya mali na utajiri hata kama ni haramu vijana wa kike na kiume kuliko kutangaza heshima ya kazi na utu.

Ni manabii wa ibilisi na ni wauaji wa roho kwa maneno yao. Hawa ni wa kuogopwa kuliko wauuao mwili.
 
Wengi mmetoa mapovu nadhani kwasababu hamna hela au ndio hao walimu wa shule ya msingi.

Huyo mchungaji lengo lake ni kuwajulisha mabinti wakae katika mvuto wa kupendeza na kumvutia mwanaume ili wapate waume.. sio wakae kishambashamba.

#MaendeleoHayanaChama

Hakuna kitu Kama hicho. Kanisani wanafundishwa kupaka lipstick?. Tena unampakia kanisani?. Kesho atawafundisha style za kitandani kanisani.
 
Back
Top Bottom