The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Hakuna mchungaji hapo!Mchungaji wa mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mchungaji hapo!Mchungaji wa mchongo
Maticha wamevurugwa usishangae kumuona ticha katwanga pigo private
Hua anapost shuhuda za watu mitandaoni ili kuvutia waumini zaidi wajae, usanii mtupu.Hakuna mchungaji hapo!
Hua anapost shuhuda za watu mitandaoni ili kuvutia waumini zaidi wajae, usanii mtupu.
...Mkuu, hujatuambia alichosema! Umelalamika TU! Alisemaje?...Nimeona video ya huyu dada ambaye anaonekana kuwa ni mchungaji akiwa anahubiri kanisani. Jambo lililonisikitisha ni kitendo cha kudharau taaluma ya ualimu hasa walimu wa kike wa shule za Msingi.
Kiongozi ni kioo cha jamii hivyo inatarajiwa kuwa maneno unayoyatoa yatakuwa ya kujenga na si kubomoa au kudhalilisha. Ajabu ni kuwa mchungaji huyo ambaye amesahau kabisa fadhila ya elimu aliyopewa na walimu hadi leo anaweza kusimama na kuhutubia watu malipo yake anatolea mfano usiofaa.
Dada huyo kaenda mbali zaidi kumdhalilisha muumini kwa kutaka kumpaka lipstick kanisani akiamini wanaofanya hivyo ndio huolewa. Hajui muumini huyo kama kaolewa au la. Hizi style za mahubiri zinakoelekea sio kwema kabisa. Imagine mme wa yule dada aliyedhalilishwa angekuwa pale church au yule dada angeamua kutoa unyonge si angemchapa ngumi na kusepa zake.
Tuwe tunachagua maneno ya kuhubiri na sio kuwadhalilisha watu wengine.
Natarajia TUCTA na CWT hata viongozi wa serikali watakemea tabia hii
View attachment 2244659
Usiangaike nalo Dem mwenyew mbovu Kam mawimbi ya uji ulopoaHii video kwangu inakatia njiani inafeli kudisplay
kwanza yeye mwenye hapaswi kusimama mbele kuhubiri. Amekosa sifa anamipasho kama waimba taarabu!. Na wanaoshangilia huenda waoga, hawajuwi au wanajipendekeza.Nimeona video ya huyu dada ambaye anaonekana kuwa ni mchungaji akiwa anahubiri kanisani. Jambo lililonisikitisha ni kitendo cha kudharau taaluma ya ualimu hasa walimu wa kike wa shule za Msingi.
Kiongozi ni kioo cha jamii hivyo inatarajiwa kuwa maneno unayoyatoa yatakuwa ya kujenga na si kubomoa au kudhalilisha. Ajabu ni kuwa mchungaji huyo ambaye amesahau kabisa fadhila ya elimu aliyopewa na walimu hadi leo anaweza kusimama na kuhutubia watu malipo yake anatolea mfano usiofaa.
Dada huyo kaenda mbali zaidi kumdhalilisha muumini kwa kutaka kumpaka lipstick kanisani akiamini wanaofanya hivyo ndio huolewa. Hajui muumini huyo kama kaolewa au la. Hizi style za mahubiri zinakoelekea sio kwema kabisa. Imagine mme wa yule dada aliyedhalilishwa angekuwa pale church au yule dada angeamua kutoa unyonge si angemchapa ngumi na kusepa zake.
Tuwe tunachagua maneno ya kuhubiri na sio kuwadhalilisha watu wengine.
Natarajia TUCTA na CWT hata viongozi wa serikali watakemea tabia hii
View attachment 2244659