Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibaya zaidi Mods wanamuangalia tu!Nime m ignore, sipendi ujinga
Amebadili ID awali alikua Christopher Paul saiv anajiita Chief GodloveNdio huyo huyo mtu mmoja ila hapa amekuja kivingine,
Multiple's ID's raha sana.
Wewe pia utakuwa na matatizo ya kiakili kama huyo mumeoUpambavu ni kuwa kama unaanza kutumia leo mtandao unashindwa kujua mtu tu anatumia jina la uyo Chief Godlove just for fun wewe una catch kukinga na kuanzisha uzi.
Lucking sense of humor is stupidly
Yaani hapo ni kuacha kureply mada zake full stopKila ninapokuwa nikiingia hapa Jukwaani ni lazima nitakutana na Uzi wa huyu jamaa Anayejiita Chief Godlove
Nimekuwa nikilazimika kufungua nyuzi zake kwasababu nimekuwa nikiona mada zake zimekaa Kishambenga hasa kushambulia wanaume ambao yeye Kwa tafsiri yake amekuwa akiwaita "MASIKINI"
Huyu jamaa nimekuwa pia nikimuona huko mitandaoni akipiga picha na Vigari Uchwara huku akiwapa ushauri wajinga wenzie watafute hela wawe kama yeye!,Sijajua ndo huyu jamaa wa huko Mitandaoni au huyu wa hapa JF ameamua Kujiita jina hilo kwakuwa anamkubali huyo jamaa!
MAONI YANGU
Kitu anachokifanya huyo jamaa Chief Godlove ni Ulimbukeni wa Hali ya Juu,nadhani jamaa hakwenda shule kuondoa Ujinga,hata hilo darasa la Saba alilofika ni kama lilimuongezea Ujinga!
Hakuna mtu yeyote mwenye pesa (Tajiri) hapa duniani utamuona huko mitandaoni anatamba,ukiona mtu anatamba huko mitandaoni ameshika pesa anapiga nazo picha au tugari twa kuazima anapiga nazo picha jua kabisa huyo mtu atakuwa na matatizo ya kiakili,ni eidha anatafuta wajinga awapige (awaibie) au anatafuta namna ya Kuwa maarufu!
Kila siku amekuwa akiwashambulia watu humu ndani kwamba hawana Hela na wengi wao ni masikini,swali la kujiuliza,Tangu lini tajiri akashinda mtandaoni tena hapa JF kupambana na masikini?
Wewe Chief Godlove acha ULIMBUKENI wa kijijini kwenu,hapa JF Kuna watu wenye akili kushinda huko FACEBOOK na INSTAGRAM,Huu ujinga wako na Ulimbukeni wako wapelekee wajinga wenzio huko!,Acha kuwadharirisha Wanaume wa JF!
N.B
Binafsi hunizidi pesa,kama unataka mashindano na tutambiane sema,Niko tayari!,maana Sasa dharau zimezidi!
Kila ninapokuwa nikiingia hapa Jukwaani ni lazima nitakutana na Uzi wa huyu jamaa Anayejiita Chief Godlove
Nimekuwa nikilazimika kufungua nyuzi zake kwasababu nimekuwa nikiona mada zake zimekaa Kishambenga hasa kushambulia wanaume ambao yeye Kwa tafsiri yake amekuwa akiwaita "MASIKINI"
Huyu jamaa nimekuwa pia nikimuona huko mitandaoni akipiga picha na Vigari Uchwara huku akiwapa ushauri wajinga wenzie watafute hela wawe kama yeye!,Sijajua ndo huyu jamaa wa huko Mitandaoni au huyu wa hapa JF ameamua Kujiita jina hilo kwakuwa anamkubali huyo jamaa!
MAONI YANGU
Kitu anachokifanya huyo jamaa Chief Godlove ni Ulimbukeni wa Hali ya Juu,nadhani jamaa hakwenda shule kuondoa Ujinga,hata hilo darasa la Saba alilofika ni kama lilimuongezea Ujinga!
Hakuna mtu yeyote mwenye pesa (Tajiri) hapa duniani utamuona huko mitandaoni anatamba,ukiona mtu anatamba huko mitandaoni ameshika pesa anapiga nazo picha au tugari twa kuazima anapiga nazo picha jua kabisa huyo mtu atakuwa na matatizo ya kiakili,ni eidha anatafuta wajinga awapige (awaibie) au anatafuta namna ya Kuwa maarufu!
Kila siku amekuwa akiwashambulia watu humu ndani kwamba hawana Hela na wengi wao ni masikini,swali la kujiuliza,Tangu lini tajiri akashinda mtandaoni tena hapa JF kupambana na masikini?
Wewe Chief Godlove acha ULIMBUKENI wa kijijini kwenu,hapa JF Kuna watu wenye akili kushinda huko FACEBOOK na INSTAGRAM,Huu ujinga wako na Ulimbukeni wako wapelekee wajinga wenzio huko!,Acha kuwadharirisha Wanaume wa JF!
N.B
Binafsi hunizidi pesa,kama unataka mashindano na tutambiane sema,Niko tayari!,maana Sasa dharau zimezidi!
Jamaa Mpumbavu sanaMaandishi yake ni kulaani watu tu humu JF. je ndo mission aliyotumwa kufanya?
Alisema ana migodi chunya, nikakutana na mabula oneday, namuuliza huyu dogo kwenye circle ya dhahabu yupo, alicheka akasema haka nikatapeli tu kapumbavu huko hakapo, nikamuuliza ntanyinya haka kadogo kapo chimbo, wala hawakukajua so kaelezeni katulie
Naona mnaongizwa na chuki juu yanhuyo godlove kamili. Huyu wa JF sio yeye ni mkongwe mwenzetu kaamua kupita na upepo wa chief godlove sawa na mi nilivyobadilisha ID yangu na kuja naa hii nikipita na upepo qa muuza madafu wa Ikulu.Kila ninapokuwa nikiingia hapa Jukwaani ni lazima nitakutana na Uzi wa huyu jamaa Anayejiita Chief Godlove
Nimekuwa nikilazimika kufungua nyuzi zake kwasababu nimekuwa nikiona mada zake zimekaa Kishambenga hasa kushambulia wanaume ambao yeye Kwa tafsiri yake amekuwa akiwaita "MASIKINI"
Huyu jamaa nimekuwa pia nikimuona huko mitandaoni akipiga picha na Vigari Uchwara huku akiwapa ushauri wajinga wenzie watafute hela wawe kama yeye!,Sijajua ndo huyu jamaa wa huko Mitandaoni au huyu wa hapa JF ameamua Kujiita jina hilo kwakuwa anamkubali huyo jamaa!
MAONI YANGU
Kitu anachokifanya huyo jamaa Chief Godlove ni Ulimbukeni wa Hali ya Juu,nadhani jamaa hakwenda shule kuondoa Ujinga,hata hilo darasa la Saba alilofika ni kama lilimuongezea Ujinga!
Hakuna mtu yeyote mwenye pesa (Tajiri) hapa duniani utamuona huko mitandaoni anatamba,ukiona mtu anatamba huko mitandaoni ameshika pesa anapiga nazo picha au tugari twa kuazima anapiga nazo picha jua kabisa huyo mtu atakuwa na matatizo ya kiakili,ni eidha anatafuta wajinga awapige (awaibie) au anatafuta namna ya Kuwa maarufu!
Kila siku amekuwa akiwashambulia watu humu ndani kwamba hawana Hela na wengi wao ni masikini,swali la kujiuliza,Tangu lini tajiri akashinda mtandaoni tena hapa JF kupambana na masikini?
Wewe Chief Godlove acha ULIMBUKENI wa kijijini kwenu,hapa JF Kuna watu wenye akili kushinda huko FACEBOOK na INSTAGRAM,Huu ujinga wako na Ulimbukeni wako wapelekee wajinga wenzio huko!,Acha kuwadharirisha Wanaume wa JF!
N.B
Binafsi hunizidi pesa,kama unataka mashindano na tutambiane sema,Niko tayari!,maana Sasa dharau zimezidi!
CorrectNyie mnaobishana nae na kumuanzishia threads ndio akili zenu hazipo sawa
HahahaKila ninapokuwa nikiingia hapa Jukwaani ni lazima nitakutana na Uzi wa huyu jamaa Anayejiita Chief Godlove
Nimekuwa nikilazimika kufungua nyuzi zake kwasababu nimekuwa nikiona mada zake zimekaa Kishambenga hasa kushambulia wanaume ambao yeye Kwa tafsiri yake amekuwa akiwaita "MASIKINI"
Huyu jamaa nimekuwa pia nikimuona huko mitandaoni akipiga picha na Vigari Uchwara huku akiwapa ushauri wajinga wenzie watafute hela wawe kama yeye!,Sijajua ndo huyu jamaa wa huko Mitandaoni au huyu wa hapa JF ameamua Kujiita jina hilo kwakuwa anamkubali huyo jamaa!
MAONI YANGU
Kitu anachokifanya huyo jamaa Chief Godlove ni Ulimbukeni wa Hali ya Juu,nadhani jamaa hakwenda shule kuondoa Ujinga,hata hilo darasa la Saba alilofika ni kama lilimuongezea Ujinga!
Hakuna mtu yeyote mwenye pesa (Tajiri) hapa duniani utamuona huko mitandaoni anatamba,ukiona mtu anatamba huko mitandaoni ameshika pesa anapiga nazo picha au tugari twa kuazima anapiga nazo picha jua kabisa huyo mtu atakuwa na matatizo ya kiakili,ni eidha anatafuta wajinga awapige (awaibie) au anatafuta namna ya Kuwa maarufu!
Kila siku amekuwa akiwashambulia watu humu ndani kwamba hawana Hela na wengi wao ni masikini,swali la kujiuliza,Tangu lini tajiri akashinda mtandaoni tena hapa JF kupambana na masikini?
Wewe Chief Godlove acha ULIMBUKENI wa kijijini kwenu,hapa JF Kuna watu wenye akili kushinda huko FACEBOOK na INSTAGRAM,Huu ujinga wako na Ulimbukeni wako wapelekee wajinga wenzio huko!,Acha kuwadharirisha Wanaume wa JF!
N.B
Binafsi hunizidi pesa,kama unataka mashindano na tutambiane sema,Niko tayari!,maana Sasa dharau zimezidi!
HahahaUnabafili badili sana ID.
Nukta zinakuumbua