Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

kutongozwa wala si dhambi mwaya....... kwani lazima ukubali? si unamsikiliza mtu then unamwambia mi siko tayari?????????????????

Wadada fungueni Uzi tuwajue kwamba mnapenda kutongozwa na kila mwanaume unayekutana naye, maana mi naamini wengine hawapendi kutongozwa kwa kuhofia kwamba umemuona ye ni malaya.
 
Jf bhanaa [emoji16][emoji16] wachache wapo OG kwa asilimia zote ila wengine ndio wale was double ID's. Moja yupo real na nyingine Ni ya ku-experience aina ya maisha anayotamani kuyaishi. Uzuri ID hata zikiwa tofauti huwezi kuwa fake kwa asilimia zote maana flow ya uandishi, sehemu unazozijua na mambo unayoyajua hayawezi kuwa FAKED.
Eti nafsi yangu inajifanya haijakuelewa eti
 
kutongozwa wala si dhambi mwaya....... kwani lazima ukubali? si unamsikiliza mtu then unamwambia mi siko tayari?????????????????
Acha ushamba wa kisambaa wewe lea wajukuu.
Mtu umesha jikongorokea nani apoteze muda wake na wewe.
Mimi kila nikuonapo najifanya sijakuona nisije kukosa udhu.
Kwendra huko...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni tuhuma zaidi ya escrow
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]! Wewe huenda ni miss natafuta umebadili tu ubini!
Kubabake wallah.
Alafu siku hizi haonekani
 
Jf bhanaa [emoji16][emoji16] wachache wapo OG kwa asilimia zote ila wengine ndio wale was double ID's. Moja yupo real na nyingine Ni ya ku-experience aina ya maisha anayotamani kuyaishi. Uzuri ID hata zikiwa tofauti huwezi kuwa fake kwa asilimia zote maana flow ya uandishi, sehemu unazozijua na mambo unayoyajua hayawezi kuwa FAKED.
Teh teh teh!!!..
Mkuu hii ni kwel kabisaa naunga mkono hoja.Nimekutan 1 day na ID moja humu matata sana ila mamaaaa !!full kiazi mpaka nikasema duh!! Id hiz jaman ni hatar kabisaa
 
Ha ha ha ha, ,,,sasa kama mmama anakuja na mitabasamu yake kisa kakutambua huku ukimcheki ni sawa na mama yako mdogo unadhani utafanyaje?
Safi gudume bora uonekane boya kuliko kumuimbisha mtu mwenye umri wa mama yako mdogo.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.

Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye nilipofika sehemu husika pia kutokana na mambo ya usalama nikapoteza dk 5 tena kwenye entrance.

Nmeingia ndani haraka nikaangaza macho nikaona nisipite mbele sababu ya haya maumbo yetu wengine tunanyanyasika kijinsia.

Nikamwona kaka mmoja mtanashati amekaa ametulia sana pembeni yake kiti hakina mtu.nikavutiwa na utulivu wake na kwenda kukaa naye.nlimsalimia akajibu pasipo hata kuntizama.nlikwazika kidogo.

Aliyekuwa anaongea alipomaliza akataka tulioingia late tujitambulishe ...nikasimama nikajitambulisha hapo ndo nikaona huyu kaka sas anaanza kuntizama kwa chati.

Nikimtizama anakwepa...then tena anarudisha macho yake kuntizama.kwa kuibia....baadaye akashika simu na kuingia JF. Hapo ndo nlishtuka.... Jamani leo nmekutana na GuDume kidogo nicheke...nikajizuia.

Nikasema nitamwona kama anaweza hata kuniimbisha maana ni wazi alikuwa ananitizama kwa kuibia.nmekuja msemesha kuhusu agenda kadhaa ana aibu ,hawezi hata nikazia macho...anaongea anatizama chini na pembeni. Gudume ana aibu...khaaaah??? Nmeshangaa... Mpaka tunaagana hajui kama mimi niliyekaa naye pale ni mimi.

Nmechukua namba yake ya simu akibisha tu namtext... Inawezekana siku nikakutana na GENTAMYCINE akaanza kuuma uma vidole... Au Mshana Jr akawa anatafuna kucha kwa aibu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Teh teh teh!!!..
Mkuu hii ni kwel kabisaa naunga mkono hoja.Nimekutan 1 day na ID moja humu matata sana ila mamaaaa !!full kiazi mpaka nikasema duh!! Id hiz jaman ni hatar kabisaa

brotherrrrrr 🤣🤣 em tulia kwanza
 
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.

Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye nilipofika sehemu husika pia kutokana na mambo ya usalama nikapoteza dk 5 tena kwenye entrance.

Nmeingia ndani haraka nikaangaza macho nikaona nisipite mbele sababu ya haya maumbo yetu wengine tunanyanyasika kijinsia.

Nikamwona kaka mmoja mtanashati amekaa ametulia sana pembeni yake kiti hakina mtu.nikavutiwa na utulivu wake na kwenda kukaa naye.nlimsalimia akajibu pasipo hata kuntizama.nlikwazika kidogo.

Aliyekuwa anaongea alipomaliza akataka tulioingia late tujitambulishe ...nikasimama nikajitambulisha hapo ndo nikaona huyu kaka sas anaanza kuntizama kwa chati.

Nikimtizama anakwepa...then tena anarudisha macho yake kuntizama.kwa kuibia....baadaye akashika simu na kuingia JF. Hapo ndo nlishtuka.... Jamani leo nmekutana na GuDume kidogo nicheke...nikajizuia.

Nikasema nitamwona kama anaweza hata kuniimbisha maana ni wazi alikuwa ananitizama kwa kuibia.nmekuja msemesha kuhusu agenda kadhaa ana aibu ,hawezi hata nikazia macho...anaongea anatizama chini na pembeni. Gudume ana aibu...khaaaah??? Nmeshangaa... Mpaka tunaagana hajui kama mimi niliyekaa naye pale ni mimi.

Nmechukua namba yake ya simu akibisha tu namtext... Inawezekana siku nikakutana na GENTAMYCINE akaanza kuuma uma vidole... Au Mshana Jr akawa anatafuna kucha kwa aibu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakutahadharisha chezea hao tu, na lau kama umefunga maungo lam niombe japo ....!
Pole.
 
Kwa hiyo reply inaonyesha we ndo mama mshuzaaaaa directly[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Basi endelea kutupa vidonge huenda one day sisi vilaza tutakua smart
watu mnajua unganisha DOTS vibaya asee JF inahitaji akili za ontario lasivyo unaumbuka kweupeeee...

Kila mwenye ID mbili hakika watajulikana woteeee...JF watu wanajua hadi mwandiko huu wa Flani shenzi kbsaa 🤣 🤣 🤣
 
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.

Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye nilipofika sehemu husika pia kutokana na mambo ya usalama nikapoteza dk 5 tena kwenye entrance.

Nmeingia ndani haraka nikaangaza macho nikaona nisipite mbele sababu ya haya maumbo yetu wengine tunanyanyasika kijinsia.

Nikamwona kaka mmoja mtanashati amekaa ametulia sana pembeni yake kiti hakina mtu.nikavutiwa na utulivu wake na kwenda kukaa naye.nlimsalimia akajibu pasipo hata kuntizama.nlikwazika kidogo.

Aliyekuwa anaongea alipomaliza akataka tulioingia late tujitambulishe ...nikasimama nikajitambulisha hapo ndo nikaona huyu kaka sas anaanza kuntizama kwa chati.

Nikimtizama anakwepa...then tena anarudisha macho yake kuntizama.kwa kuibia....baadaye akashika simu na kuingia JF. Hapo ndo nlishtuka.... Jamani leo nmekutana na GuDume kidogo nicheke...nikajizuia.

Nikasema nitamwona kama anaweza hata kuniimbisha maana ni wazi alikuwa ananitizama kwa kuibia.nmekuja msemesha kuhusu agenda kadhaa ana aibu ,hawezi hata nikazia macho...anaongea anatizama chini na pembeni. Gudume ana aibu...khaaaah??? Nmeshangaa... Mpaka tunaagana hajui kama mimi niliyekaa naye pale ni mimi.

Nmechukua namba yake ya simu akibisha tu namtext... Inawezekana siku nikakutana na GENTAMYCINE akaanza kuuma uma vidole... Au Mshana Jr akawa anatafuna kucha kwa aibu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona nyota yako na ya GuDume zinaendana.
 
Hahahaaaa....!!
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.

Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye nilipofika sehemu husika pia kutokana na mambo ya usalama nikapoteza dk 5 tena kwenye entrance.

Nmeingia ndani haraka nikaangaza macho nikaona nisipite mbele sababu ya haya maumbo yetu wengine tunanyanyasika kijinsia.

Nikamwona kaka mmoja mtanashati amekaa ametulia sana pembeni yake kiti hakina mtu.nikavutiwa na utulivu wake na kwenda kukaa naye.nlimsalimia akajibu pasipo hata kuntizama.nlikwazika kidogo.

Aliyekuwa anaongea alipomaliza akataka tulioingia late tujitambulishe ...nikasimama nikajitambulisha hapo ndo nikaona huyu kaka sas anaanza kuntizama kwa chati.

Nikimtizama anakwepa...then tena anarudisha macho yake kuntizama.kwa kuibia....baadaye akashika simu na kuingia JF. Hapo ndo nlishtuka.... Jamani leo nmekutana na GuDume kidogo nicheke...nikajizuia.

Nikasema nitamwona kama anaweza hata kuniimbisha maana ni wazi alikuwa ananitizama kwa kuibia.nmekuja msemesha kuhusu agenda kadhaa ana aibu ,hawezi hata nikazia macho...anaongea anatizama chini na pembeni. Gudume ana aibu...khaaaah??? Nmeshangaa... Mpaka tunaagana hajui kama mimi niliyekaa naye pale ni mimi.

Nmechukua namba yake ya simu akibisha tu namtext... Inawezekana siku nikakutana na GENTAMYCINE akaanza kuuma uma vidole... Au Mshana Jr akawa anatafuna kucha kwa aibu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haahaaa...Gudume, kumbe Domo ZEGE...!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
watu mnajua unganisha DOTS vibaya asee JF inahitaji akili za ontario lasivyo unaumbuka kweupeeee...

Kila mwenye ID mbili hakika watajulikana woteeee...JF watu wanajua hadi mwandiko huu wa Flani shenzi kbsaa 🤣 🤣 🤣
😂😂😂😂😂😂
 
Sio ajabu ukakutana na legendary Zero IQ akashindwa hata kutoa salamu.😂😂😂
 
Back
Top Bottom