Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Nimegundua vitu viwili
1.Gudume unapendwa sana na wadada.

2.Gudume unaandikaga mada za pumba na ujinga.

ikiwa gudume unapendwa na wadada mpaka wanatamani uwatongoze na ikiwa gudume unapenda kuandika pumba na mada za ngono na umalaya Basi wadada wengi wao wanapenda mwanaume mwenye pumba na umalaya mwingi,nipingwe na wale wachache wasiompenda Gudume.
 
Mkuu acha basi nakula papai hapa nilipo ..ila limeiva sio bovu kama la mtoa mada
Ulitaka akuimbishe ? Atakuimbishaje umri umeenda na sura sio rafiki? Maziwa kama papai bovu akuimbishe nani?
Umejichubua utafikiri mhindi koko. Kwendra uko
 
Mkuu acha basi nakula papai hapa nilipo ..ila limeiva sio bovu kama la mtoa mada
Mkuu. Huyo demu kanichefua kwa kutaka kuimbishwa na waungwana. Kwani kwenye conference watu wanaenda kuimbisha au kujenga nchi? Wema mwenyewe haimbishwi na ananyea debe chini ya uangalizi wa nyapara itakua huyo mghundu? Ajaribu bahati yake Kimboka, na sidhani kama Makonda wa daladala wamekaukiwa kiasi hicho. Akwendre huko....
 
Ha ha ha... Kazi na dawa. Kuna wakati wa ku relax na the people you have mentioned


Izo harakati za maana ndo utupe idea bro. mana zetu naona hazina mana sijui tunafeli wapi?.Acha tuendelee kujichanga na kina zero IQ
 
Hahahaa aisee! Ila sio kila akuonae lazima akuimbishe, pengine hajavutiwa na wewe
Kajenga picha alivyo mzuri. Pia katumia habari picha anazotumiaga Gudume katika simulizi zake.

Aina ya wanawake anaotokaga nao kwenye tamthilia zake, ndiyo dada kajinasibu kuwa yuko hivyo.

Sasa tulitaka Gudume mwenyewe ajibu hoja hii kiriwaya riwaya, ingependeza sana. Lakini ikijibiwa kama vile habari inayosimuliwa ni ya kweli basi haitapendeza.

Maana kuna watu wanashupaza mishipa ya shingo wakishadadia kujibu utadhani simulizi inayojadiliwa ni ya kweli!.
 
Nilikuona sana, sikutaka kujishebedua tu.

Ila siku nyingine lazima, niseme tu, nitasema tu
 
Khaaaa mbn kama umepanick brother angu sikutegemea kama unaongea maneno kama haya.

Mm kilazaa asanteee Nashukuru .
Mimi nimewahi kukutongoza hebu nipe ushahidi wa SMS za pm nilizokutongoza.

Kama upo serious na unachokisema.

Kama humanaishi barikiwa na hivyo piah
Nimekupenda bure mkuu.

Hii comment imeonesha busara/ukomavu
 
Maisha mazur na kuwa maarufu Ni kuzuri pia lakin tumia umaarufu wako kwa uzuri

Unaweza poteza nafas flan kwa ujinga tu wa kuzan uko sahihi na kitu flani na pia s kila mtu umuonae anaweza kuwa na mawazo ya kukutaka kimwili awe wa kike au kiume.

Na sikila anae penda kuandika mada flan Ni mtu wa aina hyo weng wapo kwa ajil ya kupata chakula cha akili na kutua mizigo iliyo moyoni

Mapenz yapo lakin si kirahisi kirahisi magonjwa n meng na kila mtua ana life style yake humu ndani

Mheshimu yule anaekuheshimu thamani yako itapanda kwake

Tumia akili ya kichwan kufikir saana juu ya yale uyatendayo
 
Khaaaa mbn kama umepanick brother angu sikutegemea kama unaongea maneno kama haya.

Mm kilazaa asanteee Nashukuru .
Mimi nimewahi kukutongoza hebu nipe ushahidi wa SMS za pm nilizokutongoza.

Kama upo serious na unachokisema.

Kama humanaishi barikiwa na hivyo piah
anakutania bwana sistaa
 
Asalam aleikhum.
Leo tulikuwa na meeting sehemu flani huko posta. Watu walikuwa wengi zsidi ya 50 tukijadiliana mambo mbalimbali.

Mimi nlifika kwa kuchelewa kidogo sababu ya Traffic Jam.baadaye nilipofika sehemu husika pia kutokana na mambo ya usalama nikapoteza dk 5 tena kwenye entrance.

Nmeingia ndani haraka nikaangaza macho nikaona nisipite mbele sababu ya haya maumbo yetu wengine tunanyanyasika kijinsia.

Nikamwona kaka mmoja mtanashati amekaa ametulia sana pembeni yake kiti hakina mtu.nikavutiwa na utulivu wake na kwenda kukaa naye.nlimsalimia akajibu pasipo hata kuntizama.nlikwazika kidogo.

Aliyekuwa anaongea alipomaliza akataka tulioingia late tujitambulishe ...nikasimama nikajitambulisha hapo ndo nikaona huyu kaka sas anaanza kuntizama kwa chati.

Nikimtizama anakwepa...then tena anarudisha macho yake kuntizama.kwa kuibia....baadaye akashika simu na kuingia JF. Hapo ndo nlishtuka.... Jamani leo nmekutana na GuDume kidogo nicheke...nikajizuia.

Nikasema nitamwona kama anaweza hata kuniimbisha maana ni wazi alikuwa ananitizama kwa kuibia.nmekuja msemesha kuhusu agenda kadhaa ana aibu ,hawezi hata nikazia macho...anaongea anatizama chini na pembeni. Gudume ana aibu...khaaaah??? Nmeshangaa... Mpaka tunaagana hajui kama mimi niliyekaa naye pale ni mimi.

Nmechukua namba yake ya simu akibisha tu namtext... Inawezekana siku nikakutana na GENTAMYCINE akaanza kuuma uma vidole... Au Mshana Jr akawa anatafuna kucha kwa aibu ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaelekea kila uendapo, unategemea utongozwe!
 
Unamsema Bujibuji wewe maana naye alitangazwa na Evelyn Salt kwamba ni domo zege!
 
Inaelekea kila uendapo, unategemea utongozwe!
Wenyewe wana kwambia ikipita wik hajatongwa anajiona karogwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: Auz
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah week tu[emoji23][emoji23] kweli zao wazijua wenyewe[emoji16][emoji16]
Wenyewe wana kwambia ikipita wik hajatongwa anajiona karogwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wadada fungueni Uzi tuwajue kwamba mnapenda kutongozwa na kila mwanaume unayekutana naye, maana mi naamini wengine hawapendi kutongozwa kwa kuhofia kwamba umemuona ye ni malaya.
 
Back
Top Bottom