Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Kwahiyo leo Gudume kawa ready handed on the right truck!!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Aisee..... Shukuru sana dada yangu. Tena shukuru sana. πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

 
Ameikimbia I'd yake mbn simuon kaka yangu mpendwa huyu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aisee..... Shukuru sana dada yangu. Tena shukuru sana. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Bora ungekataa kama sio ww mwanamke anakutia kasoro eti unajiumauma vidole tena mototo wakike kakufata eti unangalia chini kwaibu unatuangusha badiliaha jina mzee baba
 
Poleni sana. Sijui why mnapata shida this much. Watu tuna harakati za maana za maisha ndo maana hata JF tunaonekana kwa nadra sana. So endeleeni kuamini hivyo.😁😁😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…