Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

Poleni sana. Sijui why mnapata shida this much. Watu tuna harakati za maana za maisha ndo maana hata JF tunaonekana kwa nadra sana. So endeleeni kuamini hivyo.😁😁😁😁😁😁😁


Nilitaka sema hvo hvyo

Ila wanaume sijui mna matatizo gani kutumia id za kike
 
Poleni sana. Sijui why mnapata shida this much. Watu tuna harakati za maana za maisha ndo maana hata JF tunaonekana kwa nadra sana. So endeleeni kuamini hivyo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii id ya mama mshuza inakandiaga wanawake inaonekana unatujua karibia wanawake wote wa hapa jf
 
Gudume Naona umejifungulia uzi una jifanya mwanamke. ..

Wonders shall never ends

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa nmegundua kwa nini kuna kaka mmoja huwa anasema wanawake wengi wa jamiiforums ni vilaza... Nisamehe kaka yangu weye nliyekutaka uwaombe radhi. Nakubali wanawake wengi wa humu ni vilaza na vilazwa...😂😂😂😂😁😁😂😂
Hii id ya mama mshuza inakandiaga wanawake inaonekana unatujua karibia wanawake wote wa hapa jf
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha jf nyoko mkuu
 
Back
Top Bottom