Huyu member humu ana maneno sana, ila nje ni domo zege

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilikuwepo ila hukuniona na ulichelewa utambulisho
 
Mambo ya jf weng wana fake life aiseee Kuna kama wawili hv niliwaona Dom juz ukiwaona wako tofaut saana na tambo zao wako bize sana na story za jf Tena Ni mabest sana
 
Unachezaga vigodoro?
 
I cant be that stupid to know sme stupid women in JF. I just know only smart women in JF. Sorry i dont know you.[emoji16]
Hizi comments ni mapacha wanaofanana, ila nguo walizovaa ndo zinatofautiana.
 
Wewe naye kumbe mbeya ndiyo maan nakunyimaga namba pm mxeeew ushindwe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe naye kumbe mbeya ndiyo maan nakunyimaga namba pm mxeeew ushindwe.
Hujawah kuniona na sikutaja jina la mtu humu na Wala hata hunijui so kuwa na busara na tumia IQ ya juu sana okey hukunipa namba ya simu hayo Ni maono yako na unajua na kama imekukela unatakiwa ulimeze kama lililivyo.

Inawezekana kucoment kwako ukawa wewe na kama Ni wew change muonekano ishi maisha yanayoendana na muonekano wako

Mwisho wa kunukuuu!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwanza kabisa huu uzi nimeusubscribe pili, sijasoma hata comment moja, ila tu nakupa warning mama ingekuwa mimi kudume ungekuwa unakaribia kuja home, nasemaje kwa vitu ulivyosema unavyo lazima ningeruka na wewe hata ningeanza mdogo mdogo, cha mwisho kabisa NLISHASEMAGA, kutongoza ni ART na SAYANSI KWA WAKATI MMOJA...
 
Naomba comment ziwe fupifupi kabisaa,ili nijitahidi kuzipitia zote kwa ufasaha.[emoji847]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…