Huyu mke ni shida!✔

Huyu mke ni shida!✔

Bishop Hiluka

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,147
Reaction score
14,699
Jamaa kwa kuchoshwa na tabia ya mkewe iliyobadilika ghafla akaamua kumpleka kwa Mchungaji ili amuelezee nini tatizo mambo yakawa hivi:

Mchungaji: Mumeo analalamika umebadilika sana siku hizi nini tatizo?


Mke: Baba Mchungaji tatizo ni hali ngumu ya maisha.. sio mimi


Mchungaji: Hebu fafanua!

Mke: Unakuta asubuhi naenda kazini sina hela na inanibidi nichukue taxi, nikifika kazini dereva anauliza unanilipa au tufanyeje? Mi nachagua tufanyeje


Mchungaji: Tufanyeje ni nini?


Mke: Kulala naye

Mchungaji: Ooh endelea…


Mke: Inafika wakati wa kula Sele akiniletea chakula naye anauliza unanilipa au tufanyeje? Mi nachagua tufanyeje


Mchungaji: Mmh aiseee…

Mke: Hata nkienda kwa dokta naye anauliza unanilipa au tufanyeje? Mi nachagua tufanyeje


Mchungaji: Duh!!

Mke: hata wakati wa kurudi home nikichukua taxi ni yaleyale nachagua tufanyeje. Ndio maana nikifika nyumbani sina hamu kabisa…

Mchungaji: Aisee pole sana mwanangu, sasa tumwambie mumeo au tufanyeje?...
emoji125.png
emoji125.png
emoji125.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Jamaa kwa kuchoshwa na tabia ya mkewe iliyobadilika ghafla akaamua kumpleka kwa Mchungaji ili amuelezee nini tatizo mambo yakawa hivi:

Mchungaji: Mumeo analalamika umebadilika sana siku hizi nini tatizo?


Mke: Baba Mchungaji tatizo ni hali ngumu ya maisha.. sio mimi


Mchungaji: Hebu fafanua!

Mke: Unakuta asubuhi naenda kazini sina hela na inanibidi nichukue taxi, nikifika kazini dereva anauliza unanilipa au tufanyeje? Mi nachagua tufanyeje


Mchungaji: Tufanyeje ni nini?


Mke: Kulala naye

Mchungaji: Ooh endelea…


Mke: Inafika wakati wa kula Sele akiniletea chakula naye anauliza unanilipa au tufanyeje? Mi nachagua tufanyeje


Mchungaji: Mmh aiseee…

Mke: Hata nkienda kwa dokta naye anauliza unanilipa au tufanyeje? Mi nachagua tufanyeje


Mchungaji: Duh!!

Mke: hata wakati wa kurudi home nikichukua taxi ni yaleyale nachagua tufanyeje. Ndio maana nikifika nyumbani sina hamu kabisa…

Mchungaji: Aisee pole sana mwanangu, sasa tumwambie mumeo au tufanyeje?...
emoji125.png
emoji125.png
emoji125.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Tufanyeje
 
Huyu inabd tufanyeje tu

Sent from my RIDGE 4G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom