Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa!! Nahene
Bila kusahau maji ya batter na dawa mseto ya malaria inatiwa kwnye mkorogoUtakua mkorogo uliochanganywa omo,hiliki,jiki nadhani maaana mhhhh akipata ajali hashoneki. Asante Mungu kwa kunipa U black beuty wangu sina habariiiiii
Kuna mchanganyo fulani huwa unanicha hoi, wanachukua omo+jik+makorokoro alafu mzigo unawekwa jikoni, unachemshwaaaa hadi ufoke, unaepuliwa ukipoa mtu anajipga mambo akitoka hapo anang'aa ka kioo [emoji38][emoji38][emoji38]
Huyo akitembea juani dakika 10 lazima ababukeMkorogo uliotoa ngozi layer ya kwanza. Yaani akichanika au akipata ajari hana ujanja
Poa shem,habari ya weweShemu langu, mambo!
mkuu karibu tena..vipi hujanipitia kunisabahi?..hivi umerejea lini humu?[emoji275]Mkorogo balaa aisee
na minyusi amechora kama ile ya mama ashuraMkorogo 1st class,hiyo picha ya kwanza mmh
miss u mkuu!Mkorogo balaa aisee
Hivi Mkuu mzungu au shombeshombe ndo anakuwa na nyusi zilizochomolewa na kuchorwa kama ufagio wa kutolea buibui.Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???![]()
![]()
![]()
-Ndumilakuwili-
Tena kwa mkorogo huo mpitie karibu huwa wanatoa harufu kama nyau kanya hapana kwa kweli.Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???![]()
![]()
![]()
-Ndumilakuwili-