Huyu mke wa mkubwa wa Mkubwa Fella ,hivi ni shombe shombe au mzungu???

Huyu mke wa mkubwa wa Mkubwa Fella ,hivi ni shombe shombe au mzungu???

Utakua mkorogo uliochanganywa omo,hiliki,jiki nadhani maaana mhhhh akipata ajali hashoneki. Asante Mungu kwa kunipa U black beuty wangu sina habariiiiii
Bila kusahau maji ya batter na dawa mseto ya malaria inatiwa kwnye mkorogo
Kuna mchanganyo fulani huwa unanicha hoi, wanachukua omo+jik+makorokoro alafu mzigo unawekwa jikoni, unachemshwaaaa hadi ufoke, unaepuliwa ukipoa mtu anajipga mambo akitoka hapo anang'aa ka kioo [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Wakati wengine wakitafuata dawa ya stretch marks kwa bidii

wengine wanatafuta stretch marks kwa bidii , kweli world isnt fair.
 
Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???
05aa99fbb08bd035c993bef08951c89a.jpg
5984fe8ad494406c4bcd442bcf30a09f.jpg
e2db3a7fb714c4d4440e90bb779bb216.jpg


-Ndumilakuwili-
Hivi Mkuu mzungu au shombeshombe ndo anakuwa na nyusi zilizochomolewa na kuchorwa kama ufagio wa kutolea buibui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom