Huyu mke wa mtu analika niendelea naye au nimkaushie tu?

Huyu mke wa mtu analika niendelea naye au nimkaushie tu?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Nimeona kapost picha ya bwana yake, nikamuuliza ndio shemeji au?akajibu ndio, nami nikamwambia he looks smart, akanijibu smart kama wewe. Hii sentence ya kumfananisha mumewe na mimi nyie mnaitafsiri vipi wakuu?

Screenshot_20220521-180729_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom