Kwani mkiishia hapo kuna kibaya gan sio kila kitu cha kubebaNimeona kapost picha ya bwana yake, nikamuuliza ndio shemeji au?akajibu ndio, nami nikamwambia he looks smart, akanijibu smart kama wewe. Hii sentence ya kumfananisha mumewe na mimi nyie mnaitafsiri vipi wakuu?
View attachment 2233227
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23] this is stress free country.Siku ukidakwa ndipo utajua Na wewe Ni mtamu.
Nimeona kapost picha ya bwana yake, nikamuuliza ndio shemeji au?akajibu ndio, nami nikamwambia he looks smart, akanijibu smart kama wewe. Hii sentence ya kumfananisha mumewe na mimi nyie mnaitafsiri vipi wakuu?
View attachment 2233227Shauri yako utakeketwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3]Siku ukidakwa ndipo utajua Na wewe Ni mtamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kijana utachagua aina ya kilainish
Hiyo inakauka na kuwasha, atumie Durex. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakikisha ky haiko mbali kutoka hapo ulipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia tule mema ya nchiHivi huwa mnajisikiaje kutembea na wake za watu?
Ushaharibu ndoa ya mtu haitoshi unakuja fungua na thread umu kuproof upuuzi wako, jaman tunaelekea wapi? Mbona hatupendani?.
Jiheshimu na uheshimu ndoa za watu utakuja kufanywa mambo ya aibu yatakayo , haribu historia ya maisha yako.
Tubadirike jaman tuheshimu mahusiano ya watu, mbn wanawake single wako wengi tuu.
Ao wanalika kimasihala mkuu,Sasa hapo kinachokufanya uone analika ni kitu gani. Nakushauri kama una huo mpango upotezee maana akikuchokolea hutokuja kukuabali kuwa ndo yeye amekukataa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku ukidakwa ndipo utajua Na wewe Ni mtamu.
Sasa kama mwanamke anataka utamlaumu vipi mwamba?Hivi huwa mnajisikiaje kutembea na wake za watu?
Ushaharibu ndoa ya mtu haitoshi unakuja fungua na thread umu kuproof upuuzi wako, jaman tunaelekea wapi? Mbona hatupendani?.
Jiheshimu na uheshimu ndoa za watu utakuja kufanywa mambo ya aibu yatakayo , haribu historia ya maisha yako.
Tubadirike jaman tuheshimu mahusiano ya watu, mbn wanawake single wako wengi tuu.
Mkuu, hapo hakuna cha story wala maji, hakuna cha kuongezea! Mpigie simu sasa hivi mweleze kuwa unampenda akukute gheto!Nimeona kapost picha ya bwana yake, nikamuuliza ndio shemeji au?akajibu ndio, nami nikamwambia he looks smart, akanijibu smart kama wewe. Hii sentence ya kumfananisha mumewe na mimi nyie mnaitafsiri vipi wakuu?
View attachment 2233227