Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
We mwenyewe umesema ni mlokole yeye Iman yake inamuelekeza huko.. wewe ni daraja tu mungu kakutumia. Ila Amin kuwa utabk ndan ya moyo wake... Hilo halifutikHamna, mi ni mwema kabisa na hata sina gubu. Sikuelewaelewa tu kijembe chake
Yeah, labda km ni hivyo!Yawezkana alikuwa anawatupia hao waliokukaripia na kukuzalaurisha Kwan c ulikuwa unamwambia yanayotokea kwenye harakati
Oh, shukrani!!We mwenyewe umesema ni mlokole yeye Iman yake inamuelekeza huko.. wewe ni daraja tu mungu kakutumia. Ila Amin kuwa utabk ndan ya moyo wake... Hilo halifutik
Tenda wema wende zaki usingoje shukuranialikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia hii hakuna mjanja wa kukusemea au kukupigania zaidi ya Mungu, hakunaaaa'!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!
Swadakta!
Kiongozi; Unajua ukimsaidia mtu sio wewe uliyemsaidia ni Mungu amemsaidiaalikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia hii hakuna mjanja wa kukusemea au kukupigania zaidi ya Mungu, hakunaaaa'!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!
Wanasema kuwa Mungu hutumia watu kukunyanyua, so bado wa kushukuriwa ni Mungu😀alikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia hii hakuna mjanja wa kukusemea au kukupigania zaidi ya Mungu, hakunaaaa'!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!
Umeishasema 'Mlokole'! Hao watu mara nyingi akili zao wanazijua wenyewe!Tenda wema uende hakuna kungoja shukrani [emoji3][emoji1]
Atajisahau tualikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia hii hakuna mjanja wa kukusemea au kukupigania zaidi ya Mungu, hakunaaaa'!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!
Tunashindwa kukuelewa, umemsaidia kitu gani, ushauri? Pesa? Umemwombea kwa mungu? Umemfanyia mpango kwa wakubwa akapandishwa cheo au umemfanyia kitu gani, nashauri uwe unapitia Uzi wako kabla hujapostialikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia hii hakuna mjanja wa kukusemea au kukupigania zaidi ya Mungu, hakunaaaa'!
Nashangaa: Kwa mawazo yangu nilifikiri atatoa angalau ka 'ahsante' na kwangu pia (ingawa si kitu ninachokitolea macho sana) kwa kushiriki katika mchakato.
Najiuliza: hiki ni kijembe kwangu kwamba hakuridhika na msaada wangu au?
Hata hivyo naogopa kulaumu sababu amemtaja Mungu, maana itakuwa km nina wivu na Muumba, kitu ambacho si sahihi.
Nimueleweje huyu?!!!
Sio kukaa radar, achana na yeyote anayejifanya kumtaja Mungu. Hawana maana mara nyingiKwa uzoefu wangu kwenye maisha, kaa rada na wanaopenda sana kutaja Mungu.