Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huyu ni jamii ya nguruwe kwa mujibu wa GoogleUnapofungua kamusi ya kiingereza neno la kwanza kukutana nalo ni "Aardvark." Mnyama huyo ni huyu hapa chini na anapatikana Afrika yote kusini mwa jangwa la Sahara. Kwa kiswahili anaitwaje? Analiwa?
Wasabato wanaweza kutusaidia kujibuUnapofungua kamusi ya kiingereza neno la kwanza kukutana nalo ni "Aardvark." Mnyama huyo ni huyu hapa chini na anapatikana Afrika yote kusini mwa jangwa la Sahara. Kwa kiswahili anaitwaje? Analiwa?
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Na maandiko yao ya kimapokeo watakuraruaWasabato wanaweza kutusaidia kujibu
Ila mtaalamu wa kudukua anaeshikilia kwa miujiza yake ni mnyama aneitwa Aye-AyeNaitwa muhanga anakucha kali na ni mtaalamu wa kudukua mashimo makubwa
🤣😅[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Na maandiko yao ya kimapokeo watakurarua
Mhh watu waongo😂😂😂Nyama yake nzuri sana ukila na ugali wa mhogo.
Mmh! Mungu fundiIla mtaalamu wa kudukua anaeshikilia kwa miujiza yake ni mnyama aneitwa Aye-Aye
Huyu ana kidole kimoja kirefu sana ambacho anatumia kugonga gonga kwenye miti na kugundua kama kuna mdudu ndani
Ana maajabu sana View attachment 2608382
Nguruwe ni haramu wala hakuna cha mapokeo ni ulafi wenu tuu[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Na maandiko yao ya kimapokeo watakurarua