Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwa kweliMmh! Mungu fundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweliMmh! Mungu fundi
We jamaa bhana.... Dah!Nyama yake nzuri sana ukila na ugali wa mhogo.
Kabisa kabisa! Ukiamka asubuhi ukaona shimo kubwa kando ya kichuguu juwa MHANGA kashafanya yake, anapenda sana mchwaAnaitwa nyolinyoli anauwezo wa kufukua mashimo hata futi 5,akiwa anatafuta wadudu
Uharamu wa Nguruwe kwako si ni wa kimapokeo pia? Au ni ugunduzi wako?Nguruwe ni haramu wala hakuna cha mapokeo ni ulafi wenu tuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anataka ajikute yeye sio mapokeoo. Kumbr waarabu ndo wamewaambia wasileeUharamu wa Nguruwe kwako si ni wa kimapokeo pia? Au ni ugunduzi wako?
Huyu mnyama anaitwa Mhanga chakula chake ni wadudu na anapenda sana kula mchwa, ni mnyama mwenye makucha marefu na ulimi mrefu sana anapenyeza hata kwenye kichuguu, wanapatika sehemu nyingi ila huwezi kumuona mchana ila usiku tu, hana madhara kwa binaadamu zaidi ya kumkimbiaUnapofungua kamusi ya kiingereza neno la kwanza kukutana nalo ni "Aardvark." Mnyama huyo ni huyu hapa chini na anapatikana Afrika yote kusini mwa jangwa la Sahara. Kwa kiswahili anaitwaje? Analiwa?
![]()
![]()
Msituharibie uzi, wewe ukitaka katafune hata nyasi hakuna atakayekuuliza.Uharamu wa Nguruwe kwako si ni wa kimapokeo pia? Au ni ugunduzi wako?
Bila shaka umekoseaMsituharibie uzi, wewe ukitaka katafune hata nyasi hakuna atakayekuuliza.