Huyu mpenzi Hamna anachonipa jamani!!!!....

Huyu mpenzi Hamna anachonipa jamani!!!!....

Niwape story kidogo,Mimi napenda sana wanaume wanaovutia,uyu mwanaume nilimpenda mwenyewe!!!! Kuna sehem
HUNA AKILI.
1. Definition ya uzuri ni mwonekano wa kiarabu?
2. Huo ni ugonjwa wa akili. Mapenzi lazima yashirikishe fikra yakinifu. Hisiahisia bila kuwa na reason ni aina ya mental disorder. Na lazima yatakukuta tu. Usiseme hukuambiwa.
 
Niwape story kidogo,Mimi napenda sana wanaume wanaovutia,uyu mwanaume nilimpenda mwenyewe!!!! Kuna sehem tulikua tunakutana kila siku sehem ambayo Mimi nilikua nafanyia kazi,sasa kwenye iyo ofisi niliyokua nafanyia uyu kaka anioe bado namuhitaji sana though nishajua ye ni dreva sio shida.tutapambana tu uko mbele
Endelea kumvumilia. Kesho njema yaja. Fanya maombi sana Ridhiki zifunguke kwa wakat
 
Niwape story kidogo,Mimi napenda sana wanaume wanaovutia,uyu mwanaume nilimpenda mwenyewe!!!! Kuna sehem tulikua tunakutana kila siku sehem ambayo Mimi nilikua nafanyia kazi,sasa kwenye iyo ofisi niliyokua nafanyia uyu kaka a anioe bado namuhitaji sana though nishajua ye ni dreva sio shida.tutapambana tu uko mbele
Pole , tatizo lako ulimpenda kwa sababu ya gari, kumbe gari wala siyo la kwake
 
Niwape story kidogo,Mimi napenda sana wanaume wanaovutia,uyu mwanaume nilimpenda mwenyewe!!!! Kuna sehem tulikua tunakutana kila siku sehem ambayo Mimi nilikua nafanyia kazi,sasa kwenye iyo ofisi niliyokua nafanyia uyu kaka a
Bodo hujasema, na baaado mpaka useme, lkn kwa undani zaidi naona hata ww huna cha kumpa
 
Kama anakusukuma inatosha usiseme hakupi kitu. Kikubwa na yeye akupende usijipendekeze kisa kisa ana mvuto uliousema "Mwarabu flani hivi" [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom