Huyu mpenzi Hamna anachonipa jamani!!!!....

Ule wimbo wa Msela anapendwa japo hna hela
Your browser is not able to play this audio.
 
Cold water- Gender male.

One man down.

One man down.

One man down.
 
Acha kufanya majukumu ya mwanaume unless umeona hawezi, kiherehere cha nini binti?
 
Naona dalili za mtu kujilipia mahari.
 
Ubaguzi haujawahi kuacha watu salama
Baki na uafrika wako

Nina damu ya German - African.
Kwahiyo? Ndio nini yani? Kwahiyo unahisi wewe ni wa maana sana kisa umechanganya na wazungu? Stupid.
 
Bila shaka huyo mdau jina lake anaitwa Yusuph
 
' Nimesikia mpenzi wangu anavuta bangi, nifanyaje?
 
Kwahiyo? Ndio nini yani? Kwahiyo unahisi wewe ni wa maana sana kisa umechanganya na wazungu? Stupid.
Wewe unaonekana una majibu teyari kichwani.

Hakuna sehemu nimeandika najiona wa maana ila wewe umeliona hilo

Nimekujibu siwazii ubinafsi, ukabila wala udini kwa sababu nimechangany utaifa, na udini.

Kama huna kazi ya kufanya omba nikupe kazi sio kila jambo unapenda kuleta ushindani usio na maana. Utoto mwingi, matusi ndio hoja yako.
 
Jamani ndo KWANZA tupo nusu mwaka hata robo tatu ya mwaka bado embu uacheni mwaka wa watu ufike robo tatu ndo muoane na ukapuku wenu hukoo 🤣🤣🤣
 
Achana naye asikusumbue mkuu naomba kazi mimi
 
Nikushauri usimuache wala usimdharau haya maisha ni kitu cha ajabu sana
 
Warabu Koko,waga hawanaga urithi chukua hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…