Huyu mpenzi wangu ni noma

Huyu mpenzi wangu ni noma

MtotoKautaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
373
Reaction score
895
Wazee siongei sana lakini kifupi huyu ni mpenzi wangu anafanya kazi ofisi flani hapa mjini ni kampuni binafsi.

Mpka tunakubaliana kuanza mahusiano sikujua kama ni afisa ubashiri mbobezi (mbetiji) sasa tuna kama miezi kadhaa wazee huyu mtu anabet ni mwisho na anakula sometimes mikeka inachanika, jana mkeka wake wa mil 18 umechanwa na mechi mbili ivory coast na Switzerland kapigwa na Serbia.

Mikeka anatengeneza mwenyewe na anajua jinsi ya kufanya analysis. Nimemshauri aache kwan hata mimi nishaacha kubet siyo kazi ya kufanya lakini kasema ni ngumu kuacha Kwa yeye kwani kaanza kitambo kala nyingi na kaliwa pia.
Screenshot_2024-11-16-09-34-22-254_com.google.android.apps.messaging.jpg
 
Hicho ndio kitu pekee ex wake alichomuachia.... Kila anavyobet na kushinda lazima amkumbuke ex wake aliemfundisha betting. Akiliwa atakumbuka jinsi ex wake alivyokuwa akimtia moyo na kumla kama njia ya kumfariji

Na wewe jitahidi umrithishe kitu ili siku mkiachana awe na kumbukumbu na wewe.
Wazee siongei sana lakini kifupi huyu ni mpenzi wangu anafanya kazi ofisi flani hapa mjini ni kampuni binafsi.

Mpka tunakubaliana kuanza mahusiano sikujua kama ni afisa ubashiri mbobezi (mbetiji) sasa tuna kama miezi kadhaa wazee huyu mtu anabet ni mwisho na anakula sometimes mikeka inachanika, jana mkeka wake wa mil 18 umechanwa na mechi mbili ivory coast na Switzerland kapigwa na Serbia.

Mikeka anatengeneza mwenyewe na anajua jinsi ya kufanya analysis. Nimemshauri aache kwan hata mimi nishaacha kubet siyo kazi ya kufanya lakini kasema ni ngumu kuacha Kwa yeye kwani kaanza kitambo kala nyingi na kaliwa pia. View attachment 3153532
 
Back
Top Bottom