Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣 kidogo sio mbaya.Unazipenda dipresheni eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 kidogo sio mbaya.Unazipenda dipresheni eeh
Rusha kindege😁🤣🤣🤣🤣 kidogo sio mbaya.
Nifundishe.Rusha kindege😁
Akifundishwagi kina jieleza kinasaidia kukausha dam kwa sekunde km unakitambi sugu kinaondoka kwa dakika 🙌Nifundishe.
Weeeh!! Kinapatikana wapi?Akifundishwagi kina jieleza kinasaidia kukausha dam kwa sekunde km unakitambi sugu kinaondoka kwa dakika 🙌
Weeeh!! Kinapatikana wapi
Half american hebu fanya namna nikawe rubani mimi.Kwenye apps za betting nd wadada weng skuiz wamegeuka marubani
Huo urubani usijejaribu utakufa na dipresheni, we ndege gani inalipuka kabla haijafika unapopataka ?😂Half american hebu fanya namna nikawe rubani mimi.
We jichanganye ujute 😅🤣🤣🤣🤣 kidogo sio mbaya.
Na akijaribu hatoacha aviator n shetan anaejitegemeaHuo urubani usijejaribu utakufa na dipresheni, we ndege gani inalipuka kabla haijafika unapopataka ?😂
Hebu usitake kuharibu ndoto yangu ya urubani bwana kwa dipresheni zako. Maana ndoto iliishia mie kuendeshwa na watoto wa watanzania🤣🤣🤣Huo urubani usijejaribu utakufa na dipresheni, we ndege gani inalipuka kabla haijafika unapopataka ?😂
Usinitishe bwana🤣🤣We jichanganye ujute 😅
🤣🤣😅Wazee siongei sana lakini kifupi huyu ni mpenzi wangu anafanya kazi ofisi flani hapa mjini ni kampuni binafsi.
Mpka tunakubaliana kuanza mahusiano sikujua kama ni afisa ubashiri mbobezi (mbetiji) sasa tuna kama miezi kadhaa wazee huyu mtu anabet ni mwisho na anakula sometimes mikeka inachanika, jana mkeka wake wa mil 18 umechanwa na mechi mbili ivory coast na Switzerland kapigwa na Serbia.
Mikeka anatengeneza mwenyewe na anajua jinsi ya kufanya analysis. Nimemshauri aache kwan hata mimi nishaacha kubet siyo kazi ya kufanya lakini kasema ni ngumu kuacha Kwa yeye kwani kaanza kitambo kala nyingi na kaliwa pia. View attachment 3153532
Wewe ni KE au ME ?Wazee siongei sana lakini kifupi huyu ni mpenzi wangu anafanya kazi ofisi flani hapa mjini ni kampuni binafsi.
Mpka tunakubaliana kuanza mahusiano sikujua kama ni afisa ubashiri mbobezi (mbetiji) sasa tuna kama miezi kadhaa wazee huyu mtu anabet ni mwisho na anakula sometimes mikeka inachanika, jana mkeka wake wa mil 18 umechanwa na mechi mbili ivory coast na Switzerland kapigwa na Serbia.
Mikeka anatengeneza mwenyewe na anajua jinsi ya kufanya analysis. Nimemshauri aache kwan hata mimi nishaacha kubet siyo kazi ya kufanya lakini kasema ni ngumu kuacha Kwa yeye kwani kaanza kitambo kala nyingi na kaliwa pia. View attachment 3153532
Sikutishi muulize Ms R atakuambia kilichomkuta.Usinitishe bwana🤣🤣
Kila la heri ukawe rubani bora 😂Hebu usitake kuharibu ndoto yangu ya urubani bwana kwa dipresheni zako. Maana ndoto iliishia mie kuendeshwa na watoto wa watanzania🤣🤣🤣
Muache ajichanganye ajute, aviator ni balaaNa akijaribu hatoacha aviator n shetan anaejitegemea