Huyu mrembo amenikataa, nimefurahi kwa kweli

Unakaufala flan hivi mkuu😂
 
Wanaume tunavimbwanga vya kila aina.

Nimefurahishwa sana na simulizi yako bwashee!
Ila sasa haujatujuza, lingelikuja 'jibu zuri' ungelikamilisha dhamira au ungelimpotezea?
 
Wengine ni maumbile tu boss.. Kuna mmoja nilikutana nae ni bikra ila kifuani ni ndala kabisa alinisumbua sana kuifikia papuchi yan unamgusa anaruka tulisumbuana sana unavyojua mabikra wanavyosumbua kwenye game. Nilifanikiwa tu kupima oil hata kidole hakipenyi nya mbunye bado mpya kbs haina sugu maana ningesema labda kuna vitu kaweka kuifanya iwe taiti. Lakin ndivyo ilivyo haijaguswa kbs labia majora ziko vizuri hazina sugu wala kuchachamaa. Ila sasa ukimwangalia kifuani alivyochoka ilinishangaza sana... Nilimpa nauli ya boda arudi alipotoka na mzuka ukaishia hapo.. Alinitafuta sana na kuniomba msamaha sana aje next day haitajirudia ila nilimpotezea...
 
Shida yako wewe una rush, siku ya kwanza unataka umle. Nigga slow down
Ila congrats kwa kuukubali ukweli wake, thats how you roll
 
Amekataa ndio ukamtoa kasoro. Upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…