Huyu mrembo amenikataa, nimefurahi kwa kweli

Huyu mrembo amenikataa, nimefurahi kwa kweli

Unaita mtu aje ale hela yako na kuogelea nayo alafu shwaaah 😂😂😂 Anyaways mzazi hizo mbinu za kutumia Lunch and Dinner appointments kabla ya kuyajenga ni za kishamba sana labda uotee washamba ila wajanja wanakuja kula hela yako na hufanyi kitu
😊😃
#YCMA
 
Back
Top Bottom