Huyu mrembo nahisi anataka kunitapeli mtoto

Huyu.mtoto aliyezaliwa sio wa kwako
 
Mkuu acha shobo kama unaumia kupoteza hizo mbegu mbili,je zile ulizopoteza Kwa nyeto tuiteje?Mauaji ya kimbari ama?
 
Kwanza una uhakika na mambo haya

1. Ni kweli ana mimba??

2. Una uhakika mimba ni yako??

3. Tulia kabisa kama unanyolewa m.....

Nahisi wewe huwajuw wanawake vzr, ukiona una manzi hlf mkigombana tu kidogo anakimbilia kutaka muachane badala ya suruhisho, Kaa chini tafakari hapo huna chako.

Mwanamke awali umeishi naye poa kwa shida shida hlf leo amepata mimba ndiyo anakwambia muachane, jiongezee mkuu.


Na umefuta namba hakutafuti wala hana shobo na wewe juwa hiyo mimba kama kweli ipo basi kapewa mwingine.

LAKINI SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA, HIVYO UTUPE MREJESHO BAADA YA KUJIFUNGUA.
 
Ni kweli, hapa ni kusubiria mtoto aonekane kwanza
 
Kifaranga kina umuhimu huko uzeeni πŸ˜€πŸ˜€
Kakudanganya nani...πŸ˜„πŸ˜„

Hebu tafuta pesa hilo wazo litakutoka tena lisipokutoka hadi uzeeni mwako utakuwa unalea wajukuu badala ya kuenjoy maisha...πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Leta kesi hapa hapa JF ni ulimwengu kamili Kuna mahakimu na wanasheria humu ,mi nitakuwa lawyer wako
 
Fact
 
Tuma picha yako tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…