Huyu mrembo simuelewi...

Hilo hilo boom la 60% unahongea tena...na wazaz wako wanajua hilo kuwa unahonga 20k
 
Ukimtongoza mwanamke akakukataa bila sababu ya msingi lakini akakwambia anataka muwe marafiki tu, maana yake anakuhitaji utatue shida zake, hasa za kifedha.

Kuna mwanaume mwenzako anapendwa anajilia anavyotaka.

Jamaa mmoja aliwahi kunipigia simu na kuniomba nimuache mwanamke wake kwa sababu anani"danga" tu, yeye(jamaa) ndio anapendwa. Lakini mbususu sikuwahi kubaniwa na yule mwanamke.
 
Ukimtongoza mwanamke akakukataa bila sababu ya msingi lakini akakwambia anataka muwe marafiki tu, maana yake anakuhitaji utatue shida zake, hasa za kifedha.
Ni kwa mda tu, mbususu yake italipia hiyo mikopo penda asipende....

Jamaa mmoja aliwahi kunipigia simu na kuniomba nimuache mwanamke wake kwa sababu anani"danga" tu, yeye(jamaa) ndio anapendwa. Lakini mbususu sikuwahi kubaniwa na yule mwanamke.
Usiniambie ukaachana naye?
 
Naomba namba zake mkuu mm napendaga shape
 
Aisee!! story nyingine ya mwanaume wa dar.Anyway!! Ujumbe wangu endelea kunawa mikono kwa maji tiririka au vitakasa mikono,kwani corona inaua!!
Mi sio mwanaume wa dar bro nimekuja kutafuta tu
 
Aiseee umenishusha sana kaka🀣🀣🀣🀣
 
wewe kinachokufanya uendelee kumsumbua ni kule kujidanganya anakukubali kisa tu ukimkaushia anakutafuta..

skia bro ukweli ni kwamba we hupendwi humvutii kimapenzi ndo mana hakupi uchi huyo anataka pesa tu.
Duuh..ukweli mchungu huu
 
Aiseee umenishusha sana kaka🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Samahani sana mkuu ila ndio ukweli. Wewe umempenda huyo dem sawa ndio maana ye akifanya kakitu kadogo kwako unakakuuuza ili kaonekane ni bonge la ishu mwanamke wa kawaida hawezi kufanya.

Mfano apo umesema dem huwa anakuchek sometimes then kuna mida anakulamba mizinga. Kwa akili ya kawaida tu kuna dem hataftagi danga lake kwa shobo tu ili danga lijue linapapatikiwa na kupendwa??
 
Sifa ulizompa mwanzoni nilidhani huyo Dada atakuwa hata Mboo haijui!!!mwishoni umekuja kukiri ni Single mother[emoji134]Sasa mzazi anakushindaje aisee[emoji57]vijana wa Dar mna shida sana
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Sija
Ungekuwa sio dhaifu usingeenda kununulishwa magauni bila mkataba wa kueleweka πŸ˜‚
Soma uzi vzr mkuu wacha papara wapi nimesema ninenunulishwa magauni hiyo kaniambia jana na wala sina mpango wa kumnunulia magauni
 
Ukweli mchungu kaka by the way nimekuelewa ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…