Huyu mrembo simuelewi...

Huyu mrembo simuelewi...

Habari zenu wana MMU.

Akili za wanawake sometime zinachekesha sana. Iko hv kuna mtoto mmoja wa kisingida mweusi huyo ana kiuno kama nyigu na mshepu mmoja matata sana tako kama kajambia amila yuko vzr asee naweza sema kwa kijitonyama hii katika top five ya madem wenye shepu basi atakuwa namba 2 kama sio moja.

Na katokea kunikubali sana sana shida ni kuwa nikikatongoza kanachomoa nikikapotezea kananuna na kuanza kunipigia cm huku kananilaumu kwamba mbona nimemtenga basi najiteteaga kwamba ni ubize tu basi yanaisha.

Juzi kati tena kaanza kunichatisha kwa kasi mpaka usiku nikasema yes ngoja nitupie vocal kutupa vocal mtoto kachomoa tena anasema ataki mahusiano anataka tuwe tu marafiki nikaona ujinga nikakapotezea saizi tena kameanza kulia lia halafu shida pesa zangu kanataka ila kutoa mbususu akataki, kuna siku kaliniomba nikakopeshe 20k kwamba katanirudishia baada ya siku 3 nikakapa nakwambia hiyo pesa akunipa mpaka leo na mi nikamkaushia.

Jana usiku kameniomba eti nikapeleke Sinza madukani nikakanunulie magauni flani kameyapenda nikamwambia usijali nitakupeleka.

Sasa wadau huyu mtoto nitamlaje maana nishajaribu kukatoa out mara kadhaa kanachomoa na ukikaita gheto ndio akatokei kabisaa, nikajanja balaa yani mbinu zote za kuliwa kimasihara kanazijua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka huwa nakauliza hv unaujua mtandao wa Jf kanasema akaujui. Yani kako makini mbaya... akagongi vyombo na pia ni single mother wa miaka 24.
Hilo hilo boom la 60% unahongea tena...na wazaz wako wanajua hilo kuwa unahonga 20k
 
Ukimtongoza mwanamke akakukataa bila sababu ya msingi lakini akakwambia anataka muwe marafiki tu, maana yake anakuhitaji utatue shida zake, hasa za kifedha.

Kuna mwanaume mwenzako anapendwa anajilia anavyotaka.

Jamaa mmoja aliwahi kunipigia simu na kuniomba nimuache mwanamke wake kwa sababu anani"danga" tu, yeye(jamaa) ndio anapendwa. Lakini mbususu sikuwahi kubaniwa na yule mwanamke.
 
Ukimtongoza mwanamke akakukataa bila sababu ya msingi lakini akakwambia anataka muwe marafiki tu, maana yake anakuhitaji utatue shida zake, hasa za kifedha.
Ni kwa mda tu, mbususu yake italipia hiyo mikopo penda asipende....

Jamaa mmoja aliwahi kunipigia simu na kuniomba nimuache mwanamke wake kwa sababu anani"danga" tu, yeye(jamaa) ndio anapendwa. Lakini mbususu sikuwahi kubaniwa na yule mwanamke.
Usiniambie ukaachana naye?
 
Habari zenu wana MMU.

Akili za wanawake sometime zinachekesha sana. Iko hv kuna mtoto mmoja wa kisingida mweusi huyo ana kiuno kama nyigu na mshepu mmoja matata sana tako kama kajambia amila yuko vzr asee naweza sema kwa kijitonyama hii katika top five ya madem wenye shepu basi atakuwa namba 2 kama sio moja.

Na katokea kunikubali sana sana shida ni kuwa nikikatongoza kanachomoa nikikapotezea kananuna na kuanza kunipigia cm huku kananilaumu kwamba mbona nimemtenga basi najiteteaga kwamba ni ubize tu basi yanaisha.

Juzi kati tena kaanza kunichatisha kwa kasi mpaka usiku nikasema yes ngoja nitupie vocal kutupa vocal mtoto kachomoa tena anasema ataki mahusiano anataka tuwe tu marafiki nikaona ujinga nikakapotezea saizi tena kameanza kulia lia halafu shida pesa zangu kanataka ila kutoa mbususu akataki, kuna siku kaliniomba nikakopeshe 20k kwamba katanirudishia baada ya siku 3 nikakapa nakwambia hiyo pesa akunipa mpaka leo na mi nikamkaushia.

Jana usiku kameniomba eti nikapeleke Sinza madukani nikakanunulie magauni flani kameyapenda nikamwambia usijali nitakupeleka.

Sasa wadau huyu mtoto nitamlaje maana nishajaribu kukatoa out mara kadhaa kanachomoa na ukikaita gheto ndio akatokei kabisaa, nikajanja balaa yani mbinu zote za kuliwa kimasihara kanazijua 🤣🤣🤣🤣 mpaka huwa nakauliza hv unaujua mtandao wa Jf kanasema akaujui. Yani kako makini mbaya... akagongi vyombo na pia ni single mother wa miaka 24.
Naomba namba zake mkuu mm napendaga shape
 
Aisee!! story nyingine ya mwanaume wa dar.Anyway!! Ujumbe wangu endelea kunawa mikono kwa maji tiririka au vitakasa mikono,kwani corona inaua!!
Mi sio mwanaume wa dar bro nimekuja kutafuta tu
 
We umejuaje kua kanakukubali??

Keshakuona zoba unatoa tu pesa na out za kutosha, kwa hapo sahau mbususu.
Kusema huyo manzi sijui ni mjanja, anajielewa ni kumpaisha tu.
Ni sawa na Man city ije kucheza na majimaji na ikashinda halafu uisifie man city kua inajua sana kwa kipimo cha kumfunga majimaji.
(Dem ni man city wewe majimaji)
Aiseee umenishusha sana kaka🤣🤣🤣🤣
 
wewe kinachokufanya uendelee kumsumbua ni kule kujidanganya anakukubali kisa tu ukimkaushia anakutafuta..

skia bro ukweli ni kwamba we hupendwi humvutii kimapenzi ndo mana hakupi uchi huyo anataka pesa tu.
Duuh..ukweli mchungu huu
 
Aiseee umenishusha sana kaka🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Samahani sana mkuu ila ndio ukweli. Wewe umempenda huyo dem sawa ndio maana ye akifanya kakitu kadogo kwako unakakuuuza ili kaonekane ni bonge la ishu mwanamke wa kawaida hawezi kufanya.

Mfano apo umesema dem huwa anakuchek sometimes then kuna mida anakulamba mizinga. Kwa akili ya kawaida tu kuna dem hataftagi danga lake kwa shobo tu ili danga lijue linapapatikiwa na kupendwa??
 
Sifa ulizompa mwanzoni nilidhani huyo Dada atakuwa hata Mboo haijui!!!mwishoni umekuja kukiri ni Single mother[emoji134]Sasa mzazi anakushindaje aisee[emoji57]vijana wa Dar mna shida sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sija
Ungekuwa sio dhaifu usingeenda kununulishwa magauni bila mkataba wa kueleweka 😂
Soma uzi vzr mkuu wacha papara wapi nimesema ninenunulishwa magauni hiyo kaniambia jana na wala sina mpango wa kumnunulia magauni
 
😂😂😂 Samahani sana mkuu ila ndio ukweli. Wewe umempenda huyo dem sawa ndio maana ye akifanya kakitu kadogo kwako unakakuuuza ili kaonekane ni bonge la ishu mwanamke wa kawaida hawezi kufanya.

Mfano apo umesema dem huwa anakuchek sometimes then kuna mida anakulamba mizinga. Kwa akili ya kawaida tu kuna dem hataftagi danga lake kwa shobo tu ili danga lijue linapapatikiwa na kupendwa??
Ukweli mchungu kaka by the way nimekuelewa ndugu
 
Back
Top Bottom