Home work hiyo mtafute anaduka sasa hivi la nguo na perfume.Huyu yuko kijitonyama ipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Home work hiyo mtafute anaduka sasa hivi la nguo na perfume.Huyu yuko kijitonyama ipi mkuu
Duuh....hiyo chombo kaka ngoja nitapita maeneo hayo nimchek.Home work hiyo mtafute anaduka sasa hivi la nguo na perfume.
Poa mkuuPamoja mkuu kuna uzi upitie hapa ns kakura ikiwezekana
Hapa bila shaka kutakuwa na wawekezaji wakubwaSidhani kama kamzidi huyu huko kijitonyama. View attachment 1896206
😂😂😂😂Sifa ulizompa mwanzoni nilidhani huyo Dada atakuwa hata Mboo haijui!!!mwishoni umekuja kukiri ni Single mother[emoji134]Sasa mzazi anakushindaje aisee[emoji57]vijana wa Dar mna shida sana
Hahahahaha!! Hamna acha uoga slope tu.Hapa bila shaka kutakuwa na wawekezaji wakubwa
Duuh..ngoma inawaka mbayaHahahahaha!! Hamna acha uoga slope tu.
Umeongea kweli mkuuHivi huo mda wa kutongoza hivo mnatoa wapi.
Dunia ya sasa unamwambia live mzigo napata ?akasema no unamjibu poa ,inakuwa imetoka hakuna kuchat Kama Kaka na dada
AseeeHabari zenu wana MMU.
Akili za wanawake sometime zinachekesha sana. Iko hv kuna mtoto mmoja wa kisingida mweusi huyo ana kiuno kama nyigu na mshepu mmoja matata sana tako kama kajambia amila yuko vzr asee naweza sema kwa kijitonyama hii katika top five ya madem wenye shepu basi atakuwa namba 2 kama sio moja.
Na katokea kunikubali sana sana shida ni kuwa nikikatongoza kanachomoa nikikapotezea kananuna na kuanza kunipigia cm huku kananilaumu kwamba mbona nimemtenga basi najiteteaga kwamba ni ubize tu basi yanaisha.
Juzi kati tena kaanza kunichatisha kwa kasi mpaka usiku nikasema yes ngoja nitupie vocal kutupa vocal mtoto kachomoa tena anasema ataki mahusiano anataka tuwe tu marafiki nikaona ujinga nikakapotezea saizi tena kameanza kulia lia halafu shida pesa zangu kanataka ila kutoa mbususu akataki, kuna siku kaliniomba nikakopeshe 20k kwamba katanirudishia baada ya siku 3 nikakapa nakwambia hiyo pesa akunipa mpaka leo na mi nikamkaushia.
Jana usiku kameniomba eti nikapeleke Sinza madukani nikakanunulie magauni flani kameyapenda nikamwambia usijali nitakupeleka.
Sasa wadau huyu mtoto nitamlaje maana nishajaribu kukatoa out mara kadhaa kanachomoa na ukikaita gheto ndio akatokei kabisaa, nikajanja balaa yani mbinu zote za kuliwa kimasihara kanazijua 🤣🤣🤣🤣 mpaka huwa nakauliza hv unaujua mtandao wa Jf kanasema akaujui. Yani kako makini mbaya... akagongi vyombo na pia ni single mother wa miaka 24.
Duuh..ngoma inawaka mbaya
Unaprove kuwa wanaume wa DAR. Kuwa ni dhaifu
NaamKuna mwenzio anakula mzigo na haombwi hata mia.we amekuona boya la kuombwa hela tu.
shituka kijana.
HahahaKashakufanya ATM yake tayari.
Huyu jamaa dhaifu sanaHadi singo maza anakusumbua hivo? rasmi tunakuchomoa chama cha MABAHARIA
HahahaKila uzi unaomhusu dem lazima awe pisi saiv muwe mnaweka na picha tuhakikishe
By
Utawala