Huyu msanii Appy ni moja ya vocalist wakali sana wa kike, ni vile tu hana platform ya kumtrendisha

Huyu msanii Appy ni moja ya vocalist wakali sana wa kike, ni vile tu hana platform ya kumtrendisha

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Nimegundua miaka hii tunasikiliza mziki mbovu kuliko wazee wetu. Tunasikiliza mziki kutokana na umaarufu wa mwanamuziki na si talent yake. Na kama tujuavyo, umaarufu ni kujitangaza tu. Huyu msanii ni mkali sana. Vocals zake ni za kipekee sana.


 
Tatzo anajikamua mnoo na kwa style hiyo anayofanya tusmtegemee kumuona mbali,,,,abadilike acheze na soko, la sivyo atabak kuwa best vocalist but best poor underground kama akna damian soul, bedasto, mayunga na wengineo
 
Nimemkuta jana kwenye ads za Instagram, clip ilivoplay mtu alikua pembeni akaskia akanambia nipe jina la huyo msanii tukaanza kumsikiliza
Ana kitu
 
Huyu mdada ana balaa nilikua simjui Ila Ngoma ya WATU FEKI ni hatari sana
 
Back
Top Bottom