hhaaahhhhh!!!!2002 Sia ana takribani miaka 10 hapo katika tasnia ya burudani na muziki wewe uko la'4C......dahhh!!!ndio maana umechelewa kumfahamu,kukuongezea tu nikwamba she is a queer!!Mkuu huwezi jua wasanii woote dunia hii. Pink namjua toka niko darasa la 4 mwaka 2002.
We unamjua Hans Zimmer?
hhaaahhhhh!!!!2002 Sia ana takribani miaka 10 hapo katika tasnia ya burudani na muziki wewe uko la'4C......dahhh!!!ndio maana umechelewa kumfahamu,kukuongezea tu nikwamba she is a queer!!Mkuu huwezi jua wasanii woote dunia hii. Pink namjua toka niko darasa la 4 mwaka 2002.
We unamjua Hans Zimmer?
Chandelier
Elastic Heart
The Greatest
bnimeanza kumsikiliza tangu 2012 aliposhirikishwa na David Gueta kwenye She wolfNilikuwa natazama animation flani ya muda inaitwa Bellarina sasa kuna wimbo ukapigwa unaitwa suitcase ukanivutia nikataka kujua kauimba nani.
Ndipo nikaja kugundua ni mwanamama mzaliwa wa australia ambaye anaishi US anaitwa Sia.
Nikatafta nyimbo zake nyingine youtube nikakutana masong makali kama never give up, unstoppable, na mengine mengi kwa wale wapenda nyimbo strong za ballard huyu mama hatari na nyimbo zake full maujumbe.
Ndiye alishiriki kuandika diamond ya rihanna, kaandika nyimbo na celline dion, push T na nyingne nyingi.
We jamaa hakika ni mshamba sanaa....
Since 2011 on JF hujawahi mjua SIA.
Inawezekana hata humjui PINK wewe...maana mimi huwa nawafanisha hawa swagger zao
Huwezi kujua kila kitu, vingine utavijua utotoni, vingine ujanani na vingine uzeeni. Tunajifunza kila siku.
Vilevile anavyovijua yeye wewe huvijui, hata mimi ninamsoma huyo Sia leo, nilidhani anamwongelea yule Nsia maarufu wa st. Augustine
Huyo mama ana asili ya Tanzania kule kamachumu bukoba.Aisee kumbe unammanya, video zake nazo ziko kiartistic
Wako vizuri sanaWe jamaa hakika ni mshamba sanaa....
Since 2011 on JF hujawahi mjua SIA.
Inawezekana hata humjui PINK wewe...maana mimi huwa nawafanisha hawa swagger zao
Ni kweli video zake nyingi hajitokez yeye mwenyw, ila anaimba sana huyu mmama, huwa npnd kusikiliza nymb zake.Ndio mkuu mfano pretty heart ya beyonce. Diamond ya Rihanna. Na ngoma flani hivi ya pitbull na jlo kama ya world cup kaandika nyingi sana
Shida sia ana ugonjwa wa ngozi kama Michael Jackson unaitwa vitiligo huwa hatokei kwenye video zake hata performance zake jukwaan anaziba USO.
Hii titanium ni bomba haswa, huwa sichoki kuisikilizaSia Ni [emoji91] ktk muzik Nilimfahamu kupitia She wolf akiwa na david gueta Na ngoma yake Nyingne Amby inaitwa titanium kitambo hicho
Woow now she comes BelindaJacob...!!😊She adores Good musicChandelier
Elastic Heart
The Greatest
Allan walker namjua chain smoker poa huyo mwingine simjui[emoji16]
Kitu hiki
"Chandelier"
Halafu sijawahi kuona kashirikishwa then ngoma ikawa mbaya.
Duuh...! Nimezicheck mkuu,ila kenyewe hakavutii kabisa,utafikiri 1. Tupaja fimbo,Hakana hata chura moja kwa mbali hivi hata ya kudanganyishia,hata kama ya Vanessa hiviNilikuwa natazama animation flani ya muda inaitwa Bellarina sasa kuna wimbo ukapigwa unaitwa suitcase ukanivutia nikataka kujua kauimba nani.
Ndipo nikaja kugundua ni mwanamama mzaliwa wa australia ambaye anaishi US anaitwa Sia.
Nikatafta nyimbo zake nyingine youtube nikakutana masong makali kama never give up, unstoppable, na mengine mengi kwa wale wapenda nyimbo strong za ballard huyu mama hatari na nyimbo zake full maujumbe.
Ndiye alishiriki kuandika diamond ya rihanna, kaandika nyimbo na celline dion, push T na nyingne nyingi.
Duuh...! Nimezicheck mkuu,ila kenyewe hakavutii kabisa,utafikiri 1. Tupaja fimbo,Hakana hata chura moja kwa mbali hivi hata ya kudanganyishia,hata kama ya Vanessa hivi
Till dawn ni noma yupo na ZaynSia ana vibao vikali, sikiliza vifuatavyo utatoa mrejesho..
1. Unstoppable
2. Breath me
3. Reaper
4. Joy i call life
5. Till dawn ( featuring)
Hii joy i call life ni kibao kikali mno...