Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harmo sikubali uchizi uchizi wake Ila yupo serious na uandishi tofauti na wasanii wengi wa siku hizi. Ukiskiiza naogopa, mule alijimalizaHarmoniz ndo baba yao
Mjumbe wa serikali ya mtaaNdio nani huyo huko Daslam?
Umewasilisha uzi wako kama vile wote tunamjua huyo ni nani!!
Umezijuaje kama na wewe hukupata huo muda unaouita mchafu wa kuzisikiliza.Huwa mnapata wapi muda mchafu wa kusikiliza hizi takataka na kelele zinazoitwa " Bongo fleva "?
Mi naukubali wimbo wake wa asante na ule wa my life (The kid you know album).Ushasikiliza ule wimbo wake wa mtoto kautaa? Hitsong kali mnoo
Vijana wa kitanzania mna wivu wa kingese sana.View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Anaimba takataka tupu!
na wanaopenda nyimbo Zake tofauti na nilizo orodhesha mimi nao naona Hawana akili tu(kidding)😄
Povu ruksa ila hakikisha una uhakika wa kula January nzima
PumbaMkuu Hawatakuelewa humu ndani ila ukweli marioo anabebwa na beats na Mistari yake tu ila sauti awaachie wengine. Kama unajua kutunga haimaanishi kuwa ndo uimbe hii kanuni watu wanafosi mno.
Walio humu ndani wanalishwa kilichopo mainstream ilimradi wanakisikia basi ila uchambuzi wa kitaalam ni zero.
Pumba
Ndiyo muziki ulivyo, lazima wawepo usioelewa(usiopenda) aina yao ya muziki.View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Anaimba takataka tupu!
na wanaopenda nyimbo Zake tofauti na nilizo orodhesha mimi nao naona Hawana akili tu(kidding)😄
Povu ruksa ila hakikisha una uhakika wa kula January nzima
Toa nyimbo Yako hata Moja ufikishe views hata 1k ndio tukuamini unajua mzikiEndelea kula unacholishwa na mainstream.
Tatizo langu binafsi ni wadau wa humu sio called great thinkers yaani unakuta mtu anajicontradict kwenye sentensi moja let alone paragraph nzima.... Case in point heading unasema haujawahi kumuelewa alafu content unaweza miziki mitatu ambayo uliielewa... !!!!View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Sasa uligundua vipi kama ni takataka bila kuzielewa ?Anaimba takataka tupu!
Kama unaishi TZ na una watoto teens lazima utakuwa unazisikia hapa na pale.Huwa mnapata wapi muda mchafu wa kusikiliza hizi takataka na kelele zinazoitwa " Bongo fleva "?
Endelea kula unacholishwa na mainstream.Toa nyimbo Yako hata Moja ufikishe views hata 1k ndio tukuamini unajua mziki