Huyu msanii sijawahi kumuelewa

Huyu msanii sijawahi kumuelewa

Ni mawazo yako na ninayaheshimu mkuu..

Ngoja niendelee kusikiliza 2025 hapa..
 
Harmo sikubali uchizi uchizi wake Ila yupo serious na uandishi tofauti na wasanii wengi wa siku hizi. Ukiskiiza naogopa, mule alijimaliza
Huyo ndo anajua sasa kuanzia uandishi sio haha ka jamaa kanakoimba miama💔😄
 
View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Anaimba takataka tupu!
na wanaopenda nyimbo Zake tofauti na nilizo orodhesha mimi nao naona Hawana akili tu(kidding)😄
Povu ruksa ila hakikisha una uhakika wa kula January nzima
Vijana wa kitanzania mna wivu wa kingese sana.
 
Mkuu Hawatakuelewa humu ndani ila ukweli marioo anabebwa na beats na Mistari yake tu ila sauti awaachie wengine. Kama unajua kutunga haimaanishi kuwa ndo uimbe hii kanuni watu wanafosi mno.

Walio humu ndani wanalishwa kilichopo mainstream ilimradi wanakisikia basi ila uchambuzi wa kitaalam ni zero.

NB: Marioo, Lody Music, Jay Melody ni watunzi wazuri mno ila sio kila wimbo wanapaswa wafanye kwa sauti zao, udhaifu unaonekana kirahisi sana.
 
Mkuu Hawatakuelewa humu ndani ila ukweli marioo anabebwa na beats na Mistari yake tu ila sauti awaachie wengine. Kama unajua kutunga haimaanishi kuwa ndo uimbe hii kanuni watu wanafosi mno.

Walio humu ndani wanalishwa kilichopo mainstream ilimradi wanakisikia basi ila uchambuzi wa kitaalam ni zero.
Pumba
 
View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Anaimba takataka tupu!
na wanaopenda nyimbo Zake tofauti na nilizo orodhesha mimi nao naona Hawana akili tu(kidding)😄
Povu ruksa ila hakikisha una uhakika wa kula January nzima
Ndiyo muziki ulivyo, lazima wawepo usioelewa(usiopenda) aina yao ya muziki.
Sijui kwenu vijana choice zenu lakini alipoanza ni kama alipendwa kulikuwa na nyimbo anasifia ulevi ilivuma sana ila ni kama kwa sasa kaingia kimavi kiaina anapotea mdogomdogo yaani trend ikiendelea hivi by 2026 atakuwa amesahaulika jumla.
 
View attachment 3182349Ukiachana na nyimbo ya "chibonge" "dar kugumu" na "mi amor" hakuna nyimbo ya huyu jamaa niliwahi kupenda wala kuelewa
Tatizo langu binafsi ni wadau wa humu sio called great thinkers yaani unakuta mtu anajicontradict kwenye sentensi moja let alone paragraph nzima.... Case in point heading unasema haujawahi kumuelewa alafu content unaweza miziki mitatu ambayo uliielewa... !!!!
Anaimba takataka tupu!
Sasa uligundua vipi kama ni takataka bila kuzielewa ?
 
Back
Top Bottom