Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Najitahidi kuwa mbali naye kabisaUnatoa hela kwa kumuombea mtu huruma utakuwà una shida ya akili.
Hilo lishangazi limeshakusoma likajua udhaifu wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najitahidi kuwa mbali naye kabisaUnatoa hela kwa kumuombea mtu huruma utakuwà una shida ya akili.
Hilo lishangazi limeshakusoma likajua udhaifu wako
Njoo nikuchangieTusichoshane tunawaza marejesho
Kula mbususu wewe wacha uninga.Uko sahihi kabisa, ngoja nipambane na uzao wangu usije ukanilaumu huko mbeleni
Tatizo ili uule unajikuta umechangia kiasi kikubwa kuliko thamani yakeKula mbususu wewe wacha uninga.
Mbususu haisuswi
Hasara roho pesa makaratasi...zinakuja tuu wee mgegede huyo mshangaziTatizo ili uule unajikuta umechangia kiasi kikubwa kuliko thamani yake
Ukimwi wako baki nao😂😂Njoo nikuchangie
Inakuwaga na thamani kumbeeTatizo ili uule unajikuta umechangia kiasi kikubwa kuliko thamani yake
Kha! Jamani mbona yamekuwa hayo tenaUkimwi wako baki nao😂😂
Si huwa unasema una ukimwiKha! Jamani mbona yamekuwa hayo tena
Ndio ninao ninao.....Si huwa unasema una ukimwi
Ndo mekwambia baki naoNdio ninao ninao.....
Sawa wacha nikasambaze kwa wengine wee umenikwepaNdo mekwambia baki nao
Ndio ujuwe mke sio ndugu yako useme hamuwezi kuachanaNapata ugumu kuamini mtu ambaye ana watoto wake na wapo chuo, maana yake hiyo ni ndoa ya labda miaka 18+ au hata 20+ kwamba mume kuyumba kidogo imsumbue hivi. Washapitia vingi huyu mmama menopausal anahangaika na nini bado? Ungekuwa kijana mdogo kwa hali ya hewa ya dunia ya sasa kidoooogo ningeelewa. Ila hapa, duh! Hata mie chujio sina la kuchuja
Tukiwaza hivo hatutasaidianaWakati mambo yakiwa safi, kwa nini asinikumbuke kama rafiki 😀
😀😀😀Inakuwaga na thamani kumbee
Zingine za mashanhazi zinabana kuliko na generation Z
Unajua ata anayetoa sadaka madhabahuni anategemea ipo siku atapata miujiza?Tukiwaza hivo hatutasaidiana
Zimwi likujualo halikuli likakwisha🤣mzee funga vioo Huyo ni tapeli tu kama wale "nitumie kwa Namba hii"Habari wakuu
Kuna dada mmoja nilisoma naye zamani, miaka mingi kidogo iliyopita. Katika mazingira ya shule tulikuwa tukionyeshana hisia kwa mbali ingawa mpaka tunamaliza hatujawahi kuwa wapenzi.
Baada ya kuhitimu kila mmoja aliendelea na maisha yake, yeye aliolewa na bwana x, aliyekuwa akimiliki kampuni y ya kupeleka watu mbugani. Maisha kwao yalikuwa mazuri sana na walifanikiwa kupata watoto wawili ambao kwa sasa wako chuo kikuu.
Maisha hayatabiriki, kile kipindi cha majanga, wageni wakapungua na kupelekea kampuni kufilisika, na kujikuta jamaa anaanza sifuri. Ilibidi jamaa aame mkoa na kwenda kujaribu shughuli zingine, ambazo kwa sasa zinampa hela tu ya kula.
Kutokana na mwanamke kupenda maisha ya juu, kwake ikawa ni mtihani, kwa sababu yale maisha alioyazoea hayapo tena. Ndipo siku moja, nikapokea simu yake kwa mara ya kwanza, na kunijulisha amenitafuta sana muda mrefu, anataka niwe mshauri wake afanye biashara ipi.
Nikamwambia hakuna shida tutakuwa tunashauriana abc pale panapo wezekana; ndipo akanieleza mkasa wake na kutaka kujua mimi niko na familia au vipi.
Basi tukawa tunawasiliana hapa na pale, ila yeye akawa ananipigia simu ata usiku, nikimuuliza humuogopi mzee wako? anasema yeye ni mtu mzima afuatilii haya mambo.
Baada ya kuumiza kichwa na kutafakari sana, nikagundua huyu anataka anitumie kama daraja ili afanikishe lengo lake kisha anibwage.
Nikaona kabla sijafika mbali, inabidi tubadilishane joto kwanza; tukaweka mikakati ikawa imepangilika vizuri.
Kuna siku nilikuwa nimeenda nchi jirani, wakati wakurudi nikafikia kwenye mkoa aliopo, nikampa taarifa tuonane, akasema haina shida; baada ya dakika 20 ananitumia meseji ametembelewa na mama mkwe kwa hiyo atutaweza kuonana.
Nilipiga mahesabu kiutu uzima, nikagundua nimepigwa chenga; nami nikamjibu sawa. Nikaendelea na shughuli zangu na hatimaye nikarudi mkoani kwangu.
Baada ya kufika mkoani sasa amekuwa akinisumbua sana, mara mwezi ujao nimtumie nauli aje anitembelee, mara ninachangamoto kidogo ya salio naomba unitumie; kwa huruma nilimtumia kiasi kidogo kama 50 hivi.
Kibaya zaidi kwa sasa, amezidisha hali ya kuomba omba; sasa najiuliza haya ni mapenzi au anatafuta mteremko wa maisha?
Sasa hivi kuna 'missed call' zake tatu, na sitaki kupokea; kwa sababu nimeshagundua anataka kunitumia kama daraja.
Equation x mzee wa michepuko nimeshastaafu.
Karibuni kwa ushauri.
Dalili hizo zote anazo, anataka kucheza na mioyo ya watuZimwi likujualo halikuli likakwisha🤣mzee funga vioo Huyo ni tapeli tu kama wale "nitumie kwa Namba hii"
Professor Natafuta Ajira kuna raia inasema kutupa vipochi ni msaada huku, we need clarification pls.Sio kila msaada unatoa unafaidika. Mbona sie tunawapa vipochi bila kujali mnatupatia nini
HahahaProfessor Natafuta Ajira kuna raia inasema kutupa vipochi ni msaada huku, we need clarification pls.
Jokes mkuu 😂