Huyu mshangazi anataka kunitumia kama daraja

nina face similar situation ila sio mshangazi ni kamtu ka late 90s, nime slide mara moja tu mara niazime gari! Mara niletee zawadi, mara mkeo anafaidi, mara kuitana soulmate akat i was clear no strings attached! hv hawajuagi mtu ukiwa demanding sana unachosha haswa kama huna ukali huo kihiiivyo, alaf alimzunguka rafiki yake kukilengesha nkaona nisipo bamiza ntakua mlenda mlenda maana nilimpa free pass 2 alivokuja kuniona bila ata kuitwa! anaweza ata kunidhuru me pia huyu kambale kama alim snitch shogaake.. shwain bastard.

Kujilengesha koote ili tu nimpe tenda flan, sasa ashapata ndo anajifanya kazama mazima kwa mentali, some women are social climbers.

N.B usile mke wa mtu mkuu, not worth it.
 
Mkatie bus online ticket aje, umpokee, mbona simple, alaf nitakupa technics za kutosha ili asikusumbue huyu mshangazi, pole sana kwa changamoto
 
Mkatie bus online ticket aje, umpokee, mbona simple, alaf nitakupa technics za kutosha ili asikusumbue huyu mshangazi, pole sana kwa changamoto
Shusha hizo nondo, kwa sasa sipokei simu zake, najua ni mizinga tu.
 
Shusha hizo nondo, kwa sasa sipokei simu zake, najua ni mizinga tu.
Pokea tu simu zake mwambie nitakupigia niko na mama watoto, mbona simple.

Nakama anang'ang'ania kuja mwambie nakukatia ticket ya BM online uje, maana hata asipokuja utakuwa hujapata hasara kihivyo na ndio itakuwa mwisho wa mawasiliano,

Usimblock maana milima haikutani, tafuta sababu ambayo hataweza kuifanya na kama anahitajia dyudyu atakujaaa, na akija kweli inabidi uwe na nguvu kwelikweli, akiwa anakuja inabidi unywe juice ya vitunguu maji, asali na limao ili akuheshimu hata kama huna hela akulilie tuuu.
 
Duh mbona kama unamzungumzia mke wangu embu ngoja nije PM unielezee vizuri

Kwenye jambo ili ntakua mkali Sanaa
 
Achana na wake za watu jombaa. Hasa kama anakutafuta kwasababu mumewe kayumba Mungu ana tabia ya kulipiza kisasi. Unachangia kifo cha jamaa kwa kusononeka kwa kuona mabadiliko ya mkewe.
 
Fanya mazoezi kula mboga mboga
Mbuzi katoliki na bia acha najua hapa utashindwa😅😅
Nikiacha hivyo vitu, mng'ao wa ngozi utapotea na kuota makunyanzi 😀
 
Uwongo ngozi haing'arishwi na ulaji wa hivyo vitu labda uniambie unaogopa kitambi na mashavu yatapungua
Fanya uchunguzi mdogo, anayekula supu ya mchicha kila siku, na anayekula supu ya kongoro kila siku; ni yupi ametakata?
 
Fanya uchunguzi mdogo, anayekula supu ya mchicha kila siku, na anayekula supu ya kongoro kila siku; ni yupi ametakata
Huyu atakuwa anatakata bila kunenepeana ila
Wew wa kongoro lazima uwe nyama uzembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…