Huyu mshikaji kamtongoza na kumpata Mwanamke wangu, huku akijua nina mahusino naye

Huyu mshikaji kamtongoza na kumpata Mwanamke wangu, huku akijua nina mahusino naye

Kwema wakuu,

Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.

Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Hata hujiongezi? Huyo mwanamke anajua kabisa yupo na wewe ila amemkubalia rafiki yako.

Angekuwa anakupenda huyo mwanamke angemkataa jamaa hata kukuambia ila wew umeshtuka jamaa anakula mzigo.

Ulivyo na akili za sukuma wiki unataka kumpoteza rafiki yako kwasababu ya huyo mwanamke. Utafanya hivyo, atatongozwa tena ataliwa, utapoteza.

Atatongozwa tena, ataliwa utaenda kupoteza.

Wewe ni kuwapoteza tu wanaume wenzako kisa huyo malaya unayemfuga.

Mwisho wa siku, utakamatwa kwa kosa la mauaji, utaenda jela na mwanamke atabaki uraiani analiwa km kawaida.

Pole sana
 
Vijana tujifunze kuheshimu mahusiano ya watu
Upo na mwanamke, na mwanamke anajua kabisa upo na wewe halafu ametongozwa na jamaa na jamaa kakubaliwa.

Hata angekuwa si rafiki yako angeliwa tu na wengine.

Jifanye kidume na mwenye upendo mwingi juu ya wanawake. Utajikuta upo nyuma ya nondo na mwanamke kachukuliwa na Haji Manara au Mchezaji wa Simba.

NB: Wanaume waliojifanya wanawalinda wanawake zao, wengi huishia kufa, kufungwa maisha ulemavu hata kuwa kichaa.
 
Kwema wakuu,

Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.

Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Kuchapwa ni siri ya ndani.
 
Wewe ni bwege fulani... Hujui mapenzi baada ya kushukuru umegundua mapema. Acha ubwege
 
Haya bora yapelekwe kwa Mh Makonda, huyo kijana atumbuliwe na mwanamke arudishwe kwako.
 
Kama alikua mchumba/Demu hakuna kosa hapo ni wewe tu ndo unataka ku react tofauti.

Uchumba ni kipindi cha kuchunguzana kuona kama mtaendana, bint kashaona haiendi kasepa

So acha kulazimisha mambo, na kujiona ww n mkosaji. Tafuta pisi nyingine uishi nayo.
 
Mkuu Huwa Hatupiganii Mwanamke.

Heri Amechukuliwa Hata Kabla Hujamaliza Hayo Malengo Uliyokuwa Umepanga.

Shukrani Maji Na Mafuta Yamejitenga Mapema
 
Back
Top Bottom