Ulikua humkuni,Naona kama mshikaji ana dharau
Ulikua humpi hela
Ulitegemea anaoga, kula na kuvaa Nini?
Kajipange upya maana hata utakayempata atakucheat.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikua humkuni,Naona kama mshikaji ana dharau
Hahaha............Kuna mtu alisema utamu wa pipi ni mate yako, kwahiyo hivyo vibamia ni mind set tu watu wanafikishwa kibo na hivyo hivyo 😜Kunawengine wanamaokoto lakini...wanavibamia kama chamaclotus sasa unategemea hupeleko moto nini kitafuata
kutongozeana na kuchapiana ni mambo yasiyoepukikaKwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
We kitobo kweli yaani umpoteze mwanaume mwenzio kisa huyo malaya...? Kifupi jifanya hakuna kilicho tokea hata kama unaumia niamini mimi huyo demu atarudi anakulilia.Kwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Wala haina haja ya kudeal na huyo jamaa, mwanamke wako ndo tatizo anajua ana mpenzi kwann anakubali kuwa na mtu mwingine.Kwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Kwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Mpotezee Demu..Mshukuru sana mshkaji..Ulikuwa unaenda Kuoa MALAYAKwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Kwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
Wale woteKwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
PoleKwema wakuu,
Najiuliza nimfanyeje huyu jamaa. Anajua kabisa huyu demu alikuwa mchumba wangu na nilikuwa na malengo ya kumuoa lakini kamtongoza na kumpata na demu kanipiga mimi chini.
Sasa nawaza huyu mshikaji nimpoteze kabisa.
HahahaWale wote