Huyu mtangazaji huwa namsikiliza sana habari zake kumbe shoga?

Huyu mtangazaji huwa namsikiliza sana habari zake kumbe shoga?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827

Quest in 2014
BornRichard Austin Quest
9 March 1962 (age 57)
Liverpool, Merseyside, England
NationalityBritish
EducationAiredale and Wharfedale College
University of Leeds
Vanderbilt University
OccupationBarrister (non-practising)
Journalist
Notable credit(s)Business International
Quest Means Business
500 Questions

Mtangazaji wa kimataifa wa kituo cha CNN Richard quest ameweka wazi kuwa anafunga ndoa. Tofauti na kupongezwa baadhi ya mashabiki wake walishangazwa saana kufahamu kuwa yupo kwenye mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja.

Hata hivyo mashabiki wengine walionyeshwa kukerwa kwani hawakuwahi tegemea mtu anayewapasha habari kila siku anauhusiano na mwanaume mwenzie.

Personal life
In 2008, Quest was arrested in New York City's Central Park with drugs in his pocket. Quest admitted being in possession of crystal methamphetamine, a controlled substance.[5]

On 26 June 2014, Quest described his past experience as a closeted gay man on his CNN television programme Quest Means Business.[6]
 
Wakati ukimshangaa huyo kumbuka hapa hapa Tanzania Kwako tena Jijini Dar es Salaam wako Watangazaji akina Richard Austin Quest ( Watambaliziwaji ) wengi na bahati nzuri wengi Wao ni ' Maarufu ' mno Kuanzia Mikocheni Mkabala ya Njia panda ya Coca Cola, Njia panda ya Kawe kama unaenda Msasani Club bila Kusahau na pale Mkabala na Bamaga na mwisho malizia Kisutu jirani ya NMB kote huko wamejazana na ' wananyabelika ' kweli kweli. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Like SERIOUS [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]..

Dahh
 
Wakati ukimshangaa huyo kumbuka hapa hapa Tanzania Kwako tena Jijini Dar es Salaam wako Watangazaji akina Richard Austin Quest ( Watambaliziwaji ) wengi na bahati nzuri wengi Wao ni ' Maarufu ' mno Kuanzia Mikocheni Mkabala ya Njia panda ya Coca Cola, Njia panda ya Kawe kama unaenda Msasani Club bila Kusahau na pale Mkabala na Bamaga na mwisho malizia Kisutu jirani ya NMB kote huko wamejazana na ' wananyabelika ' kweli kweli. Naomba niishie hapa tafadhali.
be open
 
anaoa au anaolewa
"Wanamuwowa"
Screenshot_20190529-103912.jpg
 
Back
Top Bottom