Huyu mtangazaji huwa namsikiliza sana habari zake kumbe shoga?

Huyu mtangazaji huwa namsikiliza sana habari zake kumbe shoga?


Quest in 2014
BornRichard Austin Quest
9 March 1962 (age 57)
Liverpool, Merseyside, England
NationalityBritish
EducationAiredale and Wharfedale College
University of Leeds
Vanderbilt University
OccupationBarrister (non-practising)
Journalist
Notable credit(s)Business International
Quest Means Business
500 Questions

Mtangazaji wa kimataifa wa kituo cha CNN Richard quest ameweka wazi kuwa anafunga ndoa.Tofauti na kupongezwa badhi ya mashabiki wake walishangazwa saana kufaahamu kuwa yupo kwenye mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja.

Hata hivyo mashabiki wengine walionyeshwa kukerwa kwani hawakuwahi tegemea mtu anayewapasha habari kila siku anauhusiano na mwanaume mwenzie.

Personal life
In 2008, Quest was arrested in New York City's Central Park with drugs in his pocket. Quest admitted being in possession of crystal methamphetamine, a controlled substance.[5]

On 26 June 2014, Quest described his past experience as a closeted gay man on his CNN television programme Quest Means Business.[6]
Anamiminiwa mbegu kiama kipo karibu
 
Dah huyu bwege ameniumiza sana hisia zangu. Mimi nilikuwa namchukulia kama miongoni mwa babazangu wakubwa...... Nikampa heshima zote kumbe hii ndio hali halisi.
 
Hivi jaman hawa wanaolewa sie wanawake nani atatuoa mfyuuu[emoji57]
Mimi kama mwanaume hawa jamaa zetu wanatu aibisha sana sijui shida ni nini wakati mwenyekiti wao amesha tangulia mbele za haki
 
Hivi si alishawahi kupiga picha mmoja wapo wa marais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania waliomaliza muda wao?
 
Tatizo mnaangalia personal issue za watu. Wewe angalia taarifa ya habari tu.
Dah huyu bwege ameniumiza sana hisia zangu. Me nilikuwa namchukulia kama miongoni mwa babazangu wakubwa...... Nikampa heshima zote kumbe hii ndio hali halisi.
 
Back
Top Bottom