Mtangazaji wa kimataifa wa kituo cha CNN Richard quest ameweka wazi kuwa anafunga ndoa.Tofauti na kupongezwa badhi ya mashabiki wake walishangazwa saana kufaahamu kuwa yupo kwenye mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja.
Hata hivyo mashabiki wengine walionyeshwa kukerwa kwani hawakuwahi tegemea mtu anayewapasha habari kila siku anauhusiano na mwanaume mwenzie.
Personal life
In 2008, Quest was arrested in New York City's
Central Park with drugs in his pocket. Quest admitted being in possession of
crystal methamphetamine, a
controlled substance.
[5]
On 26 June 2014, Quest described his past experience as a closeted gay man on his CNN television programme
Quest Means Business.
[6]