bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Habari wanajamvi?
Kwanza niseme leo ni bahati mbaya nimeangalia hiki kipindi maana nimemuona Hoyce Temu,lakini kuna segment nimeiona inaitwa "Nirvana news".
Mhhh... jamani kuna usalama kwa huyu mtangazaji? Maana anaongea naskia anacheka mixer anasema "heheeeee L.O.L..a".
Nyie wataalam hebu njuzeni.
Kwanza niseme leo ni bahati mbaya nimeangalia hiki kipindi maana nimemuona Hoyce Temu,lakini kuna segment nimeiona inaitwa "Nirvana news".
Mhhh... jamani kuna usalama kwa huyu mtangazaji? Maana anaongea naskia anacheka mixer anasema "heheeeee L.O.L..a".
Nyie wataalam hebu njuzeni.