Huyu mtangazaji kipindi cha Nirvana jamani?

Huyu mtangazaji kipindi cha Nirvana jamani?

Jamaa anakipatia sana kile kipindi....Big up..mengine ni speculation za watu..
ANYWAY huwezi kuzuia watu kuongea..
 
Nakipenda sana kipindi chake, hasa anavyoichambua fashoooni, japo kwenye blue capet ya JIDE walioalikwa kuwachambua waalikwa waliniboaaaaaaa, haswa yule wa "i dont know" mwanzo mwisho.
Anyway back to topic, nadhani kinachomponza huyu kaka ni zile shwagaz zake, mtaalam wa kucheka ki L.O.L
 
Wewee mambo ya shule kila mtu ana siri yake moyoni. Si tulikuwa tukitoka shule tunakwenda na mshikaji wetu kula misuba akawa anajifanya Rebel ile mbaya. Tumemaliza shule tu katusaliti kaenda CCP Moshi, siku hizi kawa mwera unaambiwa mnoko ile mbaya. Hoo!
[emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha [emoji23] haha umenichekesha sana kijana
 
halafu uskute wadada na wanampenda kinoma,mchizi atakua anawafaidi sana anajichagulia tu sampuli za kila aina...
Jamaaa anawapiga wamama na masister duu. Kinoma huyo muoneni ivyo, unajuaa wadaadda na wamama wanapendwa kusifiwa
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Asilimia 99% ya wanaume walio kwenye hyo industry wanapumuliana.kuanzia madizaina,mamodo mpka hao watangazaji
 
Dear brothas.

If you ain't related nor are you bros, never ever worry about another brotha's orientation. It's just wrong.

If you're not comfortable with the mofo, just don't fcuk with him.
 
Back
Top Bottom