Huyu mtu alikuwa jini au? Nilisoma na mwanafunzi kipanga ambaye ni mtoro, mtundu, anavuta bangi, kila kesi yumo, n.K

Huyu mtu alikuwa jini au? Nilisoma na mwanafunzi kipanga ambaye ni mtoro, mtundu, anavuta bangi, kila kesi yumo, n.K

MUNGU SIO MCHOYO

Watu……..endelea sasa kusoma chini

1.Waopata daraja la kwanza kwenye masomo au tunasema distinction ndio wanaokuwa ma-engineer.madaktari na wanasheria

2.Wanaopata daraja la pili kwenye masomo ndio wanaokuwa viongozi wa mashirika mameneja,maofisi waajiri,walimu wakuu,wakuu wa taasisi AJABU SASA WATU WA GROUP HILI ndio wanaowaongoza watu wa daraja la kwanza wanakuwa ni wakuu wao wa kazi au ma manager wao.

3.Wanaopata daraka la tatu kwenye masomo ndio wanaokuwa wanasiasa,wabungu,DED, AJABU SASA WATU WA GROUP HILI ndio wanaongoza magroup yote mawili hapo juu yaani la kwanza na la pili

4.Wanaopata daraja la nne kwenye masomo ndio wanaokuwa wafanya biashara wakubwa matajiri wenye mitaji hasa baada ya kugundua mambo ya darasani hawayawezi sana wanatumia uwezo wao wote mungu aliowajalia bila kuogopa na aibu kufanya biashara hata kama ni biashara uchwara au petty business lakini kiukweli wanafanikiwa na ndio wenye mitaji na hela nyingi.AJABU SASA WATU WA GROUP HILI kutokana na wao kuwa na nguvu ya pesa ndio wanaotawala na kuwaongoza watu wa ma group yote juu yaana la kwanza,la pili na la tatu.

5.Wanaopata daraja la tano kwenye masomo ndio wanaokuwa wanajeshi,polisi AJABU SASA WATU WA GROUP HILI wanapoona watu wa ma group yote juu manne yaani la kwanza,la pili,la tatu na la nne wanapeleka mambo hovyo ya nchi ambayo hayaeleweki wanachukua nchi ili kuyaweka mambo sawa hivyo watu wa magroup yote la kwanza hadi la nne wanafyata mkia wakiamua kuchukua nchi ndio wanaweza kuamua kuwarudishia watu wa ma group ya juu waweke mambo sawa la sivyo watachukua nchi tena na ndio maana watu wa ma group haya wanaogopwa na kuheshimika sana duniani hata raisi anayekuwa madarakani anajua wana uwezo wa kumtoa kwa nguvu.

6.Wanaopata daraja la sifuri au hawakusoma kabisa wanakuwa waganga wa kienyeji.AJABU SASA WATU WA GROUP HILI watu ma magroup yote niliyotaja kuanzia la kwanza hadi la tano wanapoona mambo yao hayawaendei vizuri wakiona ubunge unakaribia kukoma,kwenye ajira cheo hakipandi, biashara zao zinayumba mambo ya mapenzi hayako sawa hii hasa ni kwa wanawake wanakwenda kujisalimisha kwa watu wa group hili kuomba msaada

MUNGU SIO MCHOYO AMEGAWA VIPAJI NA RIZIKI KILA MMOJA AMEMPA STAHIKI YAKE

View attachment 1753783

View attachment 1753784

View attachment 1753786
Hahahahahaha
 
MUNGU SIO MCHOYO

Watu……..endelea sasa kusoma chini

1.Waopata daraja la kwanza kwenye masomo au tunasema distinction ndio wanaokuwa ma-engineer.madaktari na wanasheria

2.Wanaopata daraja la pili kwenye masomo ndio wanaokuwa viongozi wa mashirika mameneja,maofisi waajiri,walimu wakuu,wakuu wa taasisi AJABU SASA WATU WA GROUP HILI ndio wanaowaongoza watu wa daraja la kwanza wanakuwa ni wakuu wao wa kazi au ma manager wao.

3.Wanaopata daraka la tatu kwenye masomo ndio wanaokuwa wanasiasa,wabungu,DED, AJABU SASA WATU WA GROUP HILI ndio wanaongoza magroup yote mawili hapo juu yaani la kwanza na la pili

4.Wanaopata daraja la nne kwenye masomo ndio wanaokuwa wafanya biashara wakubwa matajiri wenye mitaji hasa baada ya kugundua mambo ya darasani hawayawezi sana wanatumia uwezo wao wote mungu aliowajalia bila kuogopa na aibu kufanya biashara hata kama ni biashara uchwara au petty business lakini kiukweli wanafanikiwa na ndio wenye mitaji na hela nyingi.AJABU SASA WATU WA GROUP HILI kutokana na wao kuwa na nguvu ya pesa ndio wanaotawala na kuwaongoza watu wa ma group yote juu yaana la kwanza,la pili na la tatu.

5.Wanaopata daraja la tano kwenye masomo ndio wanaokuwa wanajeshi,polisi AJABU SASA WATU WA GROUP HILI wanapoona watu wa ma group yote juu manne yaani la kwanza,la pili,la tatu na la nne wanapeleka mambo hovyo ya nchi ambayo hayaeleweki wanachukua nchi ili kuyaweka mambo sawa hivyo watu wa magroup yote la kwanza hadi la nne wanafyata mkia wakiamua kuchukua nchi ndio wanaweza kuamua kuwarudishia watu wa ma group ya juu waweke mambo sawa la sivyo watachukua nchi tena na ndio maana watu wa ma group haya wanaogopwa na kuheshimika sana duniani hata raisi anayekuwa madarakani anajua wana uwezo wa kumtoa kwa nguvu.

6.Wanaopata daraja la sifuri au hawakusoma kabisa wanakuwa waganga wa kienyeji.AJABU SASA WATU WA GROUP HILI watu ma magroup yote niliyotaja kuanzia la kwanza hadi la tano wanapoona mambo yao hayawaendei vizuri wakiona ubunge unakaribia kukoma,kwenye ajira cheo hakipandi, biashara zao zinayumba mambo ya mapenzi hayako sawa hii hasa ni kwa wanawake wanakwenda kujisalimisha kwa watu wa group hili kuomba msaada

MUNGU SIO MCHOYO AMEGAWA VIPAJI NA RIZIKI KILA MMOJA AMEMPA STAHIKI YAKE

View attachment 1753783

View attachment 1753784

View attachment 1753786
Nakubali master [emoji119]

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Bwana alikuwa anatukimbiza vibaya mno darasani, form 4 alipiga division 1 ya 11 ya enzi hizo kabla ya 2010, (zilikuwa adimu mno), shule ilikuwa haijawahi kupata mtu aliefaulu kwa ufaulu huu, shule ilikuwa ya kawaida sana

Siffa za huyu mtu

1. Alikuwa mtoro sana
2. Form 2 alianza kuvuta bangi na form 3 alianza kuuza kabisa shuleni
3. Alimpiga kofi Mwalimu kukataa viboko, pia kutuhumiwa kufoji risiti ya ada, hizi kesi zilipelekea suspension.
4. Kwenye Mapenzi huku ni kama alikuwa na nyota ya ziada, Ucheshi, Usafi, akili, nk vilimpa tiket ya kubadili atakavyo na wanafunzi wa kike
5. Alipenda sana kusoma vitabu vya elimu binafsi (sio vya necta ) Alikuwa anatuambia yeye kusoma vitabu ni kama starehe,
6.Alikuwa ni mtu mtu wa watu, wengi walipenda kamapani yake, hakuwa mtu wa kuringa, ila waliokuwa karibu yake walipoanza kumwiga shule iliwaendea kushoto
7.Alikuwa na uwezo mkubwa wa kuongea, unatamani muongee tu muda wote maana anaongea sana points, ucheshi, body language, n.k alikuwa anasema vitabu anavyosoma ndio msaada kwake

Leo hii atika pita pita zangu nilkutana na rafiki yangu flani wa sekondari, sasa katika mazungumzo ya nani yupo wapi anafanya nini, nilipigwa na butwaa ambalo hadi sasa ivi naona ni kama mujiza, Huyo bwana mtundu hapo juu saizi ana kazi nzuri tu katika moja ya taasisi kubwa ya serikali.

Tulipomaliza form 4 huyo bwana, huko form 6 alizidi utundu wake kufikia steji ya kuhama shule 3, biashara yake hio alianza kufata mzigo Arusha na akawa anauza mtaani na shuleni, ila akafaulu na divishen 1 ya 5 na kuongozea shule aliyosoma, na hioo shule walidhani alinunu mtihani, Nakumbusga tena enzi hizo hii divisiin 1 ya 5 ilikuwa nadra hasa kwenye shule aliyosoma ya kawaida

Akachaguliwa chuo safi tu kwa huo ufaulu wake, Na huko kwa uhuru aliopata nadhani unaweza kujenga picha, ila alihitimu kwa G.P.A ya 4.7 (first class), alipata kazi kiulaini sana, alipoenda kuendelea na masters alipomaliza matokeo yake yalimbeba zaidi saizi ana kazi nzuri tu, Mbali na hapo pia ana miradi halali.

Kwa sasa ni mtu aliebadilika sana kuwa miongoni mwa watu ambao ni mifano ya kuigwa, hana makuu wala vurugu, kawa mcha Mungu, watu wake wa karibu wanasema kaacha kuvuta bangi ila hunywa pombe mara chache sana, ni baba wa familia inayoishi vizuri kimaadili, n.k

Siku hizi kaacha ishu zake hizi nadhani yalikuwa mambo ya ujana ila bado najiuliza huyu ni mtu kweli?
sounds like me execpt kwenye bangi nilianza form ila sikuwahi kuuza kwanza kwetu waikua watakatifu sana jumlisha na matokeo yangu ya class nilikua anyoosha hakuna hata mtu alikuwa anaweza kuamni kama nili kua nakula mmea tokea form nyoya, ila sikuwahi kupiga mwalimu maana nikikua nakiumbo kidogo sana
 
nishajaribu kufanya ivo aseee nilikula za uso necta[emoji1][emoji1] ,ila maisha bana unaweza kuwa vibaya darasan ukawa vizuri mtaani pia unaweza ukawa vizur darasan ukafeli mtaani.
Mbona story ya kubuni tuu, Haina umalizio unaoeleweka
 
Malizia pia unaweza ukala za uso na za chogo,
Tusidanganywe na misemo ya kihenga,
Eti sijui mchumia juani hulia kivulini...
Maisha hayaendi kwa huruma, unaweza utembelee rim mwanzo mwisho na mwenzako bata mwanzo mwisho.
Kutembelea Rim mana yake nini
 
Kuna jamaa angu pale chuo cha uhasibu Arusha. Alikua anaingia kwenye paper kalewa kichizi. Mpaka wasimamizi wa mtiani wanamuweka karibu na mlango ili apigwe upepo kidogo pombe ipungue kichwani. Lakini matokeo yakitoka mchizi utakuta kapiga 80 au 90 ya mia. Sijui yupo wap huyu jamaa tulishapotezanaga kitambo sana.
Chuo.kumbe mnapata 80 Hamna cozweki huko au ilikuwa cheti
 
Sure thing aisee, Msando alisoma Ilboru hivi right?

A-level nilisoma Mzumbe sekondari, ingawa nilikua vizuri lakini nilikutana na watu wapo gifted vibaya mnoo.

Nakumbuka kuna dogo wa form two tulikua tunasolve naye paper za A-level physics fresh tuu.

Imagine!!

Uongo wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom