Uchaguzi 2020 Huyu mtu anaweza kuchukua hii nchi au anaweza kusababisha mambo yatakayosababisha mageuzi kutokea katika hii nchi

Maybe ni mgeni kwenye siasa
Mrema alikuwa amepandikizwa tu so ccm walikuwa wanajua nn kinafanyika

Lowassa still alikuwa ni Mwanaccm Tena ambae 80% ya maisha yake katumikia Chama

Lisu hajawahi kabisa kuwa ccm
Toka vyama vingi vianze, huyu ndiyo mgombea halisi wa upinzani. Yeye ni no compromise, mambo ya kumleta TB Joshua kwa huyu wasahau.
Keshasema hamuachii Mungu!
 
sikubaliani na hili!
 
Salary Slip,

Naona sasa umeanza kupima kima Cha maji na kuona kirefu.. hapa umeanza kuchambua kiutu uzima tofauti na zamani uliamini Lissu tu ndie atashida Urais.

Lissu Sanasana ataendelea kuumia tu kuona JPM akishinda kwa asimilia 70%.
Hakuna mgombea anayeweza kufikisha 70% uchaguzi wa mwaka huu. Itakuwa ni close tie, 50/50; 52/48; 54/46!
CCM vs Upinzani kiujumla.
Serikali ya Umoja wa kitaifa loading...
 
Kibao kimegeuka. Subiri utaona. Mpaka sasa hivi kuna majimbo 10 chadema wameshashinda kabla ya uchaguzi
Tume imeshawatangaza kwamba wamepita bila kupingwa?

Kwa maoni yangu nadhani Chadema wangetafuta sababu yoyote ile, wasusie huu uchaguzi ili kuepuka aibu itakayowakuta. Ikiwezekana hata wampige Lissu jiwe la kichwa lakini lisimuue wala kumjeruhi. Maana jeshi lililotangazwa leo, sioni ni Jimbo gani wanaweza kuchukua. Kila Jimbo amepelekwa mtu sahihi anaetakiwa na kukubalika na wananchi. Cha kufurahisha zaidi, asilimia kubwa ni vijana wachapa kazi.
 
Kumbe jamaa aliongea upuuzi sana kiasi hicho???[emoji44]
 
Acha kuropoka mwalimu halisi hawezi kuongea hivyo.ungejua maumivu wanayopitia waajiriwa hata usingethubutu kusema chochote.
 
Acha kuropoka mwalimu halisi hawezi kuongea hivyo.ungejua maumivu wanayopitia waajiriwa hata usingethubutu kusema chochote.
Ungejua pia maumivu waliyokua wanapitia kina mama wajawazito na watoto walipokua wanakosa huduma za Afya mpaka wengine kupoteza uhai, watoto waliokua wanakosa elimu kisa Ada, wakulima walishindwa kusafirisha mazao yao kwenda kuuza kisa hakuna barabara. Yote haya ungeyafikiria, usingekimbilia kuja kuropoka usiku wote huu.
 
Hivi wee jamaa hata una Wazazi kweli? Na kama unao huwa hata una muda wa kuwajulia angalau hali? Slow down man, hii Dunia haijaanza leo, utakuja kuishia kujiua siku moja kama ukiendelea hivyo kuabudu takataka, ...
unamsema nani sasa, mleta mada au?
 
Maumivu ya watu wote uliowataja yanatia huruma
 
Huyu muacha aongee haijui CCM vizuri.
 
Hao chadema unaowategemea wakupeleke kwenye G5 hawana ata office yenye thamani ya 30m kwa zaidi ya 20yrs what a shame!
 
1995 then 2015 na Leo 2020baDo unaamini mazingira yanafanana
 


Kwa kulitumia jeshi kumlazimisha Jecha ndio CCM bado haijakatika vipande ??

Hizo degree zako ulizichukulia Kivukoni ??
 
Bad uko kwenye vitu kama Jpm mtaji wa siasa ni watu na hoja za wakati husband
Ndo mnavyodanganyana kuwa mtaji wa siasa ni watu na sio vitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], watanzania wameshachoka na maneno waliyokuwa wanapewa zaman wanataka vitu vinavyoonekana na kwa vitendo bro.
 
Kuna kauli naitoa humu kila siku na leo narudia, CCM haitapata kura za watumishi wa umma isipokuwa polisi na jeshi nadhan, CCM haitapata kura za wafanya biashara, CCM haitapata kura za baadhi ya wakulima, CCM haitapata kura za vijana walioko mitaani bila kujua kesho yao ikoje, CCM haitapata kura za wanafunzi wa vyuo vikuu, ila maajabu ni kwamba CCM itashinda kwa asilimia kubwa sana na uchaguzi utapita na mambo yataendelea kama kawaida, watanzania wa kuumia watendelea kuumia na wale wa kula keki ya taifa wataendelea kula tu.
 
Sanduku la Kura likiheshimiwa bila kuchezewa na NEC ccm ,mbona Ikulu mapema tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…