Huyu mtu anayejiita Mwijaku, amesoma Vyuo gani?

mbona yuko humu atakuja kujieleza
 
Mliozaliwa kwa msaada wa waganga wa kienyeji mbona mnashida sana..............hebu tulia mother.............ker
NYIE MLIOZALIWA MKATANGULIZA MIGUU... TENA MMEPIGA MSAMBA..... NISISEME ZAIDI. MIJAKU MKUBWA WEWE KILAZA.
 
University of Jalalani
 
Anaitwa Burton Mwemba/e amesoma jalalani
Na mzumbe

Watu wanamuona kama kichaa ila amini domo lake analopiga linampa hela balaa.
 
Jamhuri ya Watekaji
Mpo bize kujadili mapedeshee, kuliko kukabiliana na tishio la usalama linalozalishwa na TanPol na usalama
 
Amesoma Mzumbe University
 
Mwenda zake alikuwa na"series" zake mbili matata sana ya kwanza akiwashukuru wafadhili fulani wa University of "Columbio" na ya pili aliyosema ".... before people used to die in the lake..." Mwenye hizo clip mbili atuwekee hapa tuburudike.
 
Mbona haukumshangaa Bwana yuleee entrepreneurship na alikuwa PhD holder !.
 
Umaarufu wake unatokana na kujadiliwa sana, hata humu ana IDs zake ambaze hupenda kujifungulia nyuzi akijiponda. Watu wanaweza wakadhani hata hiyo ID yako ni yeye.
 
Umaarufu wake unatokana na kujadiliwa sana, hata humu ana IDs zake ambaze hupenda kujifungulia nyuzi akijiponda. Watu wanaweza wakadhani hata hiyo ID yako ni yeye.
Mkuu Kuwa na heshima kidogo,kwamba hii ID yangu yawezekana ikawa Niya huyo Maparang'ang'a?

Akili yangu ya form 6 huyo mwehu haingii hata robo!
 
Jina lake halisi nasikia ni Burton Mwemba mtoto wa Sheikh mkubwa Kigoma.
 
Li Mwijaku halijui Kiingereza hata kile cha basic ambacho mhitimu wa chuo kikuu anatakiwa akifahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…