mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Anahela hatari.....anaweza kukumwagia hela mpaka ukawa wet[emoji23]Sikujua kama ni mfupi kiias hiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahela hatari.....anaweza kukumwagia hela mpaka ukawa wet[emoji23]Sikujua kama ni mfupi kiias hiki
Sijalala,, niko na hubby tunamalizia game laChesii hapa tulale 😁financial services
Ulinikataa tukiwa chuo nilipo kuomba nikuoe. Naomba muheshimu mumeo basi huu muda unachat jf?
Jifunze kwa wenzio basi akina Depal
Muda huu wanampa mbususu mume wake. Muheshimu mumeo basi
Haaa chuo gani hicho? Mimi std 7 huko chuo nimefikaje , usije ukawa unaota😀financial services
Ulinikataa tukiwa chuo nilipo kuomba nikuoe. Naomba muheshimu mumeo basi huu muda unachat jf?
Jifunze kwa wenzio basi akina Depal
Muda huu wanampa mbususu mume wake. Muheshimu mumeo basi
Chuichui ni wewe au nakufananishaHaaa chuo gani hicho? Mimi std 7 huko chuo nimefikaje , usije ukawa unaota[emoji3]
Chui chui tena? Nahisi umenifananisha mkuuChuichui ni wewe au nakufananisha
Kwani wewe unataka urefu wa mtu au de libolo yake?😅 cha muhimu de libolo likukune uinjoiSikujua kama ni mfupi kiias hiki
Kwa hiyo amejaribu picha?Lakini mmmmhView attachment 2576700Madem huwa hatupendi short
Cha pili mashineYeah wanakwambia mwanaume ni pesa vingine vitajiongeza vyenyewe [emoji16][emoji16]
Ni kama vile wanaume mnavyotunanga wadada tusio na matacco makubwa basi na sie wengi hatuvutiwi na wanaume wafupi. Sio chuki ni vile tunachagua vinavyotuvutia.For sure ila wanawake mna chuki sana na wanaume wafupi i don't know why [emoji848]
Ila kweli mwanamke bila 👇👇👇👇 hufai kuitwa mrembo 😁😁😁😁😁👁️😁😁Ni kama vile wanaume mnavyotunanga wadada tusio na matacco makubwa basi na sie wengi hatuvutiwi na wanaume wafupi. Sio chuki ni vile tunachagua vinavyotuvutia.
Sent using Jamii Forums mobile app