Huyu Mwalimu anaishi kwa mbinu Gani nchi Tanzania?

Huyu Mwalimu anaishi kwa mbinu Gani nchi Tanzania?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?

Huwa anaishije?

Screenshot_20240510-162451~2.png
 
Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?

Huwa anaishije?
Huyu mwalimu baada ya makato yote hayo anabaki na Tshs. 567,082.33 ambayo ni kubwa sana juu ya kima cha chini cha Taifa. Huyu anatoboa vizuri tu.

Ila kwa nn amekopa kopa sana maeneo tofauti? Angekuwa na mkopo sehemu moja tu apunguze stress
 
Huyu mwalimu baada ya makato yote hayo anabaki na Tshs. 567,082.33 ambayo ni kubwa sana juu ya kima cha chini cha Taifa. Huyu anatoboa vizuri tu.

Ila kwa nn amekopa kopa sana maeneo tofauti? Angekuwa na mkopo sehemu moja tu apunguze stress
Dah! Kwa kweli anahitaji ushauri. Na inakuwaje DED apitishe mikopo yate hiyo bila kumshauri mtumishi wake? wajuvi wa mambo wanasema hv: "Mbwa akikonda sio aibu kwa mbwa bali ni aibu kwa mwenye mbwa".
 
Hapo lazima Kakopa pesa nyingi anaishi kwa kuendesha biashara zake ajira ni dhamana yake tu hapo na siyo kazi anayoitegemea kuishi
 
Back
Top Bottom