peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?
Huwa anaishije?
Huwa anaishije?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wa sec au primary?Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?
Huwa anaishije?
Wewe jua ni mwalimu kwa kutizama Makato ya CWTMwalimu wa sec au primary?
Anadanga benki au???😹😹Tukisema mwalimu anadanga tutakuwa tunakosea?
Hii ni edited huwezi kukopa mikopo mingi hivyo na yote ukapewa..Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?
Huwa anaishije?
Huyu mwalimu baada ya makato yote hayo anabaki na Tshs. 567,082.33 ambayo ni kubwa sana juu ya kima cha chini cha Taifa. Huyu anatoboa vizuri tu.Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?
Huwa anaishije?
Dah! Kwa kweli anahitaji ushauri. Na inakuwaje DED apitishe mikopo yate hiyo bila kumshauri mtumishi wake? wajuvi wa mambo wanasema hv: "Mbwa akikonda sio aibu kwa mbwa bali ni aibu kwa mwenye mbwa".Huyu mwalimu baada ya makato yote hayo anabaki na Tshs. 567,082.33 ambayo ni kubwa sana juu ya kima cha chini cha Taifa. Huyu anatoboa vizuri tu.
Ila kwa nn amekopa kopa sana maeneo tofauti? Angekuwa na mkopo sehemu moja tu apunguze stress
Ila mwamba ni rejendari haswa maana kakopa benki mashuhuri zote za tz yaani CRDB, NBC na NMB ukijumlisha hao nyonya damu Platinum na maboto 😂😂😂😂Kwa hali hii, huyu mwalimu anaweza kupata akili ya kufundisha watoto darasani waweze kufaulu?
Huwa anaishije?
Kama hajavuka 1/3 ya mshahara anakopa tuHii ni edited huwezi kukopa mikopo mingi hivyo na yote ukapewa..
Kazi ipo.Ila mwamba ni rejendari haswa maana kakopa benki mashuhuri zote za tz yaani CRDB, NBC na NMB ukijumlisha hao nyonya damu Platinum na maboto 😂😂😂😂
