Huyu Mwanachuo Kutoka Temeke Dar, Pale Makerere University ametutia aibu kwa Maswali ya kitoto aliyomuuliza Mh Tundu Lissu. Hajatuwalilisha vyema.

Huyu Mwanachuo Kutoka Temeke Dar, Pale Makerere University ametutia aibu kwa Maswali ya kitoto aliyomuuliza Mh Tundu Lissu. Hajatuwalilisha vyema.

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ramadhan Kareem, Kwaresma Njema.

Jana Chuo Kikuu cha Makerere Nchini Uganda kimeturudisha nyuma kidogo enzi za siaaa za Hoja na Zenye Tija.

Kimeturudisha kwenye zile siasa za Critical Thinking ambazo Magwiji wa Africa Mashariki na Afrika yote ilizitumia kulete Ukombozi, siasa za kina Nelson Mandela, Thabo Mberk, Ramaphosa, Siasa za Hoja na misingi za kina Patrice Lumumba, Ahmed Sekouture, Samu Nujoma, Edwado De Santos, siasa za kina Tom Mboya, Yower Kaguta Mseveni na kina Mwl Nyerere.

Kiukweli ulikuwa mjadala unaofanana na zile enzi za UDSM ya Zamani, enzi za kina Prof Shivji, Prof Mark Mwandosya, Dr Harrison Mwakyembe, Mh Mkono, Mh Adv John Chenge.

Kwa vijana wa kileo nitawakumbusha tu kizazi cha wanasiasa bora walioibuka hivi karibuni chakina
1. Dr Mwigulu Nchemba
2. Lazaro Nyarandu
3.Nape Nauye
4.JJ Mnyika
5. Tundu Lissu
6. Zitto Kabwe
7. Akina Halima Mdee, Esta Matiko n.k
8. Bila kumsahau Ndugu Paul Christian Makonda RC wa Sasa Arusha.


Mazungumzo ya jana yaliyokaribisha wanazuoni Kutoka Vyuo Mbali mbali Afrija mashariki na Duniani kote yamefufua ari mpya na hamasa ha siasa na ulezi wa wanasiasa bora.

Msemaji Mkuu akiwa Mh Tundu Lissu alitupitisha ktk historia nzito ya kisiasa za Afrika na mabara ya Ulaya.

Tundu Lissu alitumia muda wake vyema, moja ya jambo alilonifurahisha zaidi ni pale alipomwagia Sifa kede Kede Hayati Mwl Juliu Nyerere kuwa Kiongozi Mahiri wa Wakati Wake( Great Man of his Times) kama Mwanaharakati wa Siasa na Sera za Kimataifa. Alimsema kama Mwanasiaaa asiye na tamaa, Mwadilifu, Mkweli na anayependa Mijadala ya Kielimu.

Sasa wakati wa Maswali na Majibu vijana wa Uganda walionesha umakini na umahiri Mkubwa ktk Kujenga Maswali yenye Hoja.

Huyu Kijana Wetu aliyejitambulisha kama Kijana kutoka Dar Es Salaam Temeke alituaibisha sana. Ameshindwa kutuwakilisha vyema.

Aliuliza Swali Gani?

" Tundu Lissu as Chadema politica Leader you failed Tanzanians and people of Dar Es Salaam by accepting Edward Ngoyai Lowasa to be your Contestant of Presidencial post 2015. You failed Tanzanians? Why?
😅😅😅😅

Mambo mengine inabidi ucheke. Unajiuliza huyu alikuwemo kwenye kwenye ile Hall ya Mjadara? Amekuwaje akakosa umakini kiasi hiki hadi akaongelea vitu ambavyo havipo kwenye mazungumzo?

Vinana wa Tanzania Tuwe Serious, Mwanasheria unatakiwa uwe bora zaidi na sio kwa Kiwango kile.

You Failed Us My Friend.
 
Tundu Lissu alitumia muda wake vyema, moja ya jambo alilonifurahisha zaidi ni pale alipomwagia Sifa kede Kede Hayati Mwl Juliu Nyerere kuwa Kiongozi Mahiri wa Wakati Wake( Great Man of his Times) kama Mwanaharakati wa Siasa na Sera za Kimataifa. Alimsema kama Mwanasiaaa asiye na tamaa, Mwadilifu, Mkweli na anayependa Mijadala ya Kielimu.
Nadhani hukusikia mawe ambayo Lissu alimrushia Nyerere. Naamini alimchana Nyerere zaidi kuliko alivyomsifia
 
Ramadhan Kareem, Kwaresma Njema.

Jana Chuo Kikuu cha Makerere Nchini Uganda kimeturudisha nyuma kidogo enzi za siaaa za Hoja na Zenye Tija.

Kimeturudisha kwenye zile siasa za Critical Thinking ambazo Magwiji wa Africa Mashariki na Afrika yote ilizitumia kulete Ukombozi, siasa za kina Nelson Mandela, Thabo Mberk, Ramaphosa, Siasa za Hoja na misingi za kina Patrice Lumumba, Ahmed Sekouture, Samu Nujoma, Edwado De Santos, siasa za kina Tom Mboya, Yower Kaguta Mseveni na kina Mwl Nyerere.

Kiukweli ulikuwa mjadala unaofanana na zile enzi za UDSM ya Zamani, enzi za kina Prof Shivji, Prof Mark Mwandosya, Dr Harrison Mwakyembe, Mh Mkono, Mh Adv John Chenge.

Kwa vijana wa kileo nitawakumbusha tu kizazi cha wanasiasa bora walioibuka hivi karibuni chakina
1. Dr Mwigulu Nchemba
2. Lazaro Nyarandu
3.Nape Nauye
4.JJ Mnyika
5. Tundu Lissu
6. Zitto Kabwe
7. Akina Halima Mdee, Esta Matiko n.k
8. Bila kumsahau Ndugu Paul Christian Makonda RC wa Sasa Arusha.


Mazungumzo ya jana yaliyokaribisha wanazuoni Kutoka Vyuo Mbali mbali Afrija mashariki na Duniani kote yamefufua ari mpya na hamasa ha siasa na ulezi wa wanasiasa bora.

Msemaji Mkuu akiwa Mh Tundu Lissu alitupitisha ktk historia nzito ya kisiasa za Afrika na mabara ya Ulaya.

Tundu Lissu alitumia muda wake vyema, moja ya jambo alilonifurahisha zaidi ni pale alipomwagia Sifa kede Kede Hayati Mwl Juliu Nyerere kuwa Kiongozi Mahiri wa Wakati Wake( Great Man of his Times) kama Mwanaharakati wa Siasa na Sera za Kimataifa. Alimsema kama Mwanasiaaa asiye na tamaa, Mwadilifu, Mkweli na anayependa Mijadala ya Kielimu.

Sasa wakati wa Maswali na Majibu vijana wa Uganda walionesha umakini na umahiri Mkubwa ktk Kujenga Maswali yenye Hoja.

Huyu Kijana Wetu aliyejitambulisha kama Kijana kutoka Dar Es Salaam Temeke alituaibisha sana. Ameshindwa kutuwakilisha vyema.

Aliuliza Swali Gani?

" Tundu Lissu as Chadema politica Leader you failed Tanzanians and people of Dar Es Salaam by accepting Edward Ngoyai Lowasa to be your Contestant of Presidencial post 2015. You failed Tanzanians? Why?
😅😅😅😅

Mambo mengine inabidi ucheke. Unajiuliza huyu alikuwemo kwenye kwenye ile Hall ya Mjadara? Amekuwaje akakosa umakini kiasi hiki hadi akaongelea vitu ambavyo havipo kwenye mazungumzo?

Vinana wa Tanzania Tuwe Serious, Mwanasheria unatakiwa uwe bora zaidi na sio kwa Kiwango kile.

You Failed Us My Friend.
Yule kijana aliboa sana kwani aliuliza swali nje ya mada iliyokuwa inajadliwa ya legacy ya mwalimu katika ujenzi wa demokrasia yeye yule ni kijana wa CCM na nia yake ilikuwa kuifedhehesha Chadema, vijana kama wale hawana mchango wa maana katika Taifa hili, ni kijana wa hovyo.
 
Mtanzania anajulikana dunia nzima
FB_IMG_17413379379443059.jpg
 
Ramadhan Kareem, Kwaresma Njema.

Jana Chuo Kikuu cha Makerere Nchini Uganda kimeturudisha nyuma kidogo enzi za siaaa za Hoja na Zenye Tija.

Kimeturudisha kwenye zile siasa za Critical Thinking ambazo Magwiji wa Africa Mashariki na Afrika yote ilizitumia kulete Ukombozi, siasa za kina Nelson Mandela, Thabo Mberk, Ramaphosa, Siasa za Hoja na misingi za kina Patrice Lumumba, Ahmed Sekouture, Samu Nujoma, Edwado De Santos, siasa za kina Tom Mboya, Yower Kaguta Mseveni na kina Mwl Nyerere.

Kiukweli ulikuwa mjadala unaofanana na zile enzi za UDSM ya Zamani, enzi za kina Prof Shivji, Prof Mark Mwandosya, Dr Harrison Mwakyembe, Mh Mkono, Mh Adv John Chenge.

Kwa vijana wa kileo nitawakumbusha tu kizazi cha wanasiasa bora walioibuka hivi karibuni chakina
1. Dr Mwigulu Nchemba
2. Lazaro Nyarandu
3.Nape Nauye
4.JJ Mnyika
5. Tundu Lissu
6. Zitto Kabwe
7. Akina Halima Mdee, Esta Matiko n.k
8. Bila kumsahau Ndugu Paul Christian Makonda RC wa Sasa Arusha.


Mazungumzo ya jana yaliyokaribisha wanazuoni Kutoka Vyuo Mbali mbali Afrija mashariki na Duniani kote yamefufua ari mpya na hamasa ha siasa na ulezi wa wanasiasa bora.

Msemaji Mkuu akiwa Mh Tundu Lissu alitupitisha ktk historia nzito ya kisiasa za Afrika na mabara ya Ulaya.

Tundu Lissu alitumia muda wake vyema, moja ya jambo alilonifurahisha zaidi ni pale alipomwagia Sifa kede Kede Hayati Mwl Juliu Nyerere kuwa Kiongozi Mahiri wa Wakati Wake( Great Man of his Times) kama Mwanaharakati wa Siasa na Sera za Kimataifa. Alimsema kama Mwanasiaaa asiye na tamaa, Mwadilifu, Mkweli na anayependa Mijadala ya Kielimu.

Sasa wakati wa Maswali na Majibu vijana wa Uganda walionesha umakini na umahiri Mkubwa ktk Kujenga Maswali yenye Hoja.

Huyu Kijana Wetu aliyejitambulisha kama Kijana kutoka Dar Es Salaam Temeke alituaibisha sana. Ameshindwa kutuwakilisha vyema.

Aliuliza Swali Gani?

" Tundu Lissu as Chadema politica Leader you failed Tanzanians and people of Dar Es Salaam by accepting Edward Ngoyai Lowasa to be your Contestant of Presidencial post 2015. You failed Tanzanians? Why?
😅😅😅😅

Mambo mengine inabidi ucheke. Unajiuliza huyu alikuwemo kwenye kwenye ile Hall ya Mjadara? Amekuwaje akakosa umakini kiasi hiki hadi akaongelea vitu ambavyo havipo kwenye mazungumzo?

Vinana wa Tanzania Tuwe Serious, Mwanasheria unatakiwa uwe bora zaidi na sio kwa Kiwango kile.

You Failed Us My Friend.
Inasadikika kuwa matumizi makubw ya ugali kupita kiasi huondoa namna bora ya kufikiri
 
Nadhani hukusikia mawe ambayo Lissu alimrushia Nyerere. Naamini alimchana Nyerere zaidi kuliko alivyomsifia
Nchi hii tumeumbiwa unafiki mkubwa hivyo mtu akiongea ukweli huwa anaonekana mbaya na adui.

Historia ya mtu huwa haikamiliki bila kuongea mazuri na mapungufu yake.

...kusifia pekee ni uongo
....kuponda pekee pua ni uongo.

Mwanadamu lazima awe na pande 2
 
Yule kijana aliboa sana kwani aliuliza swali nje ya mada iliyokuwa inajadliwa ya legacy ya mwalimu katika ujenzi wa demokrasia yeye yule ni kijana wa CCM na nia yake ilikuwa kuifedhehesha Chadema, vijana kama wale hawana mchango wa maana katika Taifa hili, ni kijana wa hovyo.
Anafanya nchi ionekane haina vijana wenye uwezo wa kujenga hoja kwenye majukwaa makubwa kama yale?

Nchi nzima inaonekana ya hovyo kumbe kuna kijana wa hovyo chawa anaongea shit
 
TAL ni Kijana wa makamu akifika 60 anaitwa Mzee na akifika 65 anaitwa mzee wa makamu.
Ujue kuna muda umri sio kigezo cha kuitwa mzee legacy ambayo unakua umeacha pia inaweza fanya ukaitwa mzee mapema🙏kwangu mimi acha TAL nimuite mzee amefanya makubwa katika nchi hii

Ingekuwa mimi kwenye uhakiki wa vitabu nib
Ngesema TAL ni mfano wa kuigwa

Ametufunza ni nini maana ya msimamo kwa miaka zaidi ya 30🙏
 
Back
Top Bottom