Huyu Mwanachuo Kutoka Temeke Dar, Pale Makerere University ametutia aibu kwa Maswali ya kitoto aliyomuuliza Mh Tundu Lissu. Hajatuwalilisha vyema.

Yaani kijana wa chuo kikuu anauliza upumbavu wa namna hii?...hii mitoto ya siku hizi wazazi wanatupa hela tu...alafu likitoka hapo chuo kwa kudesa linalalamika halipati ajira..nani atakuajiri kwa akili za kibwege kama hizi?
Kwanza anasoma chuo gani huyu ndezi?
 
wacha ujinga Lisu hakumpamba tu Nyerere bali alimkosoa pia kwenye issue ya constitutionalism yaani kutengeneza taasisi inayolinda imperial presidential government na pia kukosoa mchakato wa canonization unaofanywa na kanisa Catholic na kusisitiza alikuwa binadamu mwanasiasa hawezi kuitwa mtakatifu!
 
Tangu lini uvccm anaakili
 
Karibu kwenye mjadala
 
Uko sahihi
 
umefeli wewe maana kauliza swali amablo hukupenda lissu aulizwe
 
Huyu ni wale wale UVCCMπŸ˜‚
 
Nape Nauye Huyu ambaye inadaiwa kule nchini india akiwa anasoma alinenepea rosti zenye mafuta mengi na chapati za jibini.
Eti na kizazi cha kuteka teka nacho kakipa promo !
Alitakiwa aishie kule kwa akina Shivji na wenzake Angalau !
 
Nape Nauye Huyu ambaye inadaiwa kule nchini india akiwa anasoma alinenepea rosti zenye mafuta mengi na chapati za jibini.
Hoja yake huenda ikawa nzuri ila ka orodhesha watu wa ajabu ajabu eti ni wanasiasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…