Hahaaaaaaa ambaye hakujui bhasi ni new comer au labda hajawahi ingia celeb forumAsa mbona umeandika kidogo Nawe waelezee sifa zangu wanitambue mimi ni nanii, maana wanajua mimi wa Hivi Hivi enzi Hizo wale guest ilibidi wajiunge jf
Mimi pia nakupenda sanaShukran mkuu
Asante sana mkuuMimi pia nakupenda sana
Inakuwa Poa!Kwahiyo inakuwaje?
Danga tamu bhana!Aaaaaah kumbee danga! Kwani hutaki mme? Tafakakari vema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan Nakuambia jasiri ni jasiri tu nishaharibu
Aiseehahahahahah, ila kwenye mambo yaaaleee, sio mkorofi ila ni mbunifu nakuhakikishia hutanichoka (Kwa sauti ya mkulu wetu)
Woooowwwww Hapa hornet Atakuja nichafua usijali hao kina ukhuty wana wivu Wataanza sema wao ni Jamii photos kumbe hataHahaaaaaaa ambaye hakujui bhasi ni new comer au labda hajawahi ingia celeb forum
Una mchango mkubwa kwa celeb forum yaani wewe ni legend kulee ..wasikuchukulie poa kabisa
You are the best in your own way
Ana busara kama zako tu lakini.Unajua unampenda Skylat ni MOD ili asiwe anakupa ban
Nimesifiwa na mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo vizuri shoo..Nimesifiwa na mimi
Kweli[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji12]Ana busara kama zako tu lakini.
Si unajua haters ndo best fans ...hata wao wanaelewa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Woooowwwww Hapa hornet Atakuja nichafua usijali hao kina ukhuty wana wivu Wataanza sema wao ni Jamii photos kumbe hata
Asantee
Haswaaa wewe uache ulevi
Eeeh halafu Miss Natafuta 3Kweli[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji12]
Nakaa Kuwa namba Mbili ee
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23]Woooowwwww Hapa hornet Atakuja nichafua usijali hao kina ukhuty wana wivu Wataanza sema wao ni Jamii photos kumbe hata
Asantee
Kabisa kaka Naitwa Dina pia sina mchumba wala mchepuko, unajua tarehe 14 Imekaribia kuna ua Nataka nkupeSi unajua haters ndo best fans ...hata wao wanaelewa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kabla hajaanza kukufundisha anza wewe kuchukua hatua.... kata mguu kule jukwaa la wakubwa