EheeeWe acha tuu
Hapo sitiii neno [emoji23][emoji23][emoji23]Haswaaa wewe uache ulevi
Hahahahahhahahahahaha namba Nne money penny ni naniiEeeh halafu Miss Natafuta 3
Katika hiyo list hatukosiHapo sitiii neno [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kule sijaingia siku nyingi kweli babu. Nitakua naingia kuwa mpenzi mtazamaji. Nitaacha kucomment. Kwani na bibi hayuko kule?Kabla hajaanza kukufundisha anza wewe kuchukua hatua.... kata mguu kule jukwaa la wakubwa
Kama unataka kiben10 lakini [emoji38][emoji38][emoji38]Kabisa kaka Naitwa Dina pia sina mchumba wala mchepuko, unajua tarehe 14 Imekaribia kuna ua Nataka nkupe
Matusi sasaAna busara kama zako tu lakini.
Hupendi kusifiwa?Nimesifiwa na mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Huyo hata kwenye 10 bora hayukoHahahahahhahahahahaha namba Nne money penny ni nanii
Tena unaanza wewe Dina. Mi namba 10 hukoooKatika hiyo list hatukosi
Anzeni tu[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23]
Eyce unaibiwaaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kabisa kaka Naitwa Dina pia sina mchumba wala mchepuko, unajua tarehe 14 Imekaribia kuna ua Nataka nkupe
Unona sana?πππππππππ
Inakuwa Poa!